Kiswahili cha Kenya

Kiswahili ya kenya ipo super sana, hata tz guys wana appreciate sana!

''Nilisoma story moja ya budaa mmoja aki ni msonko sana alikua gangstar , story yake ilinifanya niogope sana hadi nikaacha ngeta ndo nikaoka niko rada juu niko na ma blessings sana.!! Haha I luv this people when they talk sheng.
 
Mimi ni mkenya na wala situmii kilugha mnacho andika hapa...Hiki kilugha mnachoandika hapa si Kiswahili bali ni 'sheng'. Ni kilugha ambacho haswa hutumiwa na vijana wanaojiita madotkom wanaoishi mijini. Pia Kenya Kiswahili kimekuzwa kwa lahaja tofauti tofauti kiasi cha kuwa kiswahili cha mkoa fulani ni tofauti na kingine...Kiswahili huku Kenya hukuzwa sana sehemu za mkoa wa Pwani(coast), kule kwingine ndiko wanachangia kukiharibu kiswahili kwa kukiingiza lugha geni zisizokuwa na maana...
Mi ni mkenya lakini nachukia hizo lugha zinazofananishwa kuwa Kiswahili...Kiswahili ni tofauti kabisa na Sheng... Ubovu wa kilugha hichi ni kuwa kila siku kuna maneno mapya yanayozuka hivyo basi kufanya vigumu kilugha hiki kukua...

Nadhani nimeeleweka hapa.
 
1. gari yenyu ni mzee hadi ikiwa kwa jam unahisi ime-cause accident.
2. blood yako ni sweet hadi mosquito ina-come na cake.
na-love sheng mazee, ina-sound mupoa sana kwa mayut, ila maparoo hawapendi hizi risto za sheng
 
Mabuda kuna bibi ya wenyewe nimemgotea, amenijaz johh ako na mahaga...ni supuu but hizo njaro zake...imebidi nimehata...

ma wife za watu kulia vako buda, hata kama hiyo hagga ni kama ya Nicky minaj, chorea. mraia itakushtuka na itakumezeshea unaeza tolewa hata kidungi na unajua vile ku enda.. wasupa wengi kibronje, lakini usisahau kondula.
 
Mimi ni mkenya na wala situmii kilugha mnacho andika hapa...Hiki kilugha mnachoandika hapa si Kiswahili bali ni 'sheng'. Ni kilugha ambacho haswa hutumiwa na vijana wanaojiita madotkom wanaoishi mijini. Pia Kenya Kiswahili kimekuzwa kwa lahaja tofauti tofauti kiasi cha kuwa kiswahili cha mkoa fulani ni tofauti na kingine...Kiswahili huku Kenya hukuzwa sana sehemu za mkoa wa Pwani(coast), kule kwingine ndiko wanachangia kukiharibu kiswahili kwa kukiingiza lugha geni zisizokuwa na maana...
Mi ni mkenya lakini nachukia hizo lugha zinazofananishwa kuwa Kiswahili...Kiswahili ni tofauti kabisa na Sheng... Ubovu wa kilugha hichi ni kuwa kila siku kuna maneno mapya yanayozuka hivyo basi kufanya vigumu kilugha hiki kukua...

Nadhani nimeeleweka hapa.
Lugha huboreshwa muda baada ya muda, Kiswahili kilipoletwa na Waarabu sisi nasi tukakiboresha zaidi.
 
eti soda ni daso...
eti gari ni dinga au bodi...
petroli ni ngata..
mtu ni mdhi
msichana ni manzi au siste au shore au chile au mshi (m-she), na mhi (m-he)
katia manzi ni flirting
kumnoki msichana ni kumpenda kiasi
cheki badala ya tazama
lapa mtu ni kumdharau au kum-ignore
kugota msee ni "fist bump"
vako ni kaa mauwongo ya msee
msee ni mtu hajazeeka bado, mtu asiye "mzee" ni msee.
pesa ni chapaa
mkalio/------ ni mahaga au rasa
hapana/la huwa zii
mtu mzii ni mtu mkali..
sasa? badala ya habari?...na kujibiwa ni "fiti"
boli ikiishwa na pumz ni vile haina pressure
na pia we, ukiishwa na pumz ni vile umechoka
iza ni kaa kusema pole
mtoi ni mtoto
jo/ngai ni kaa kusema ala!

na hizo ni za kitambo, i'm sure nikienda maruaundi nai ningezipata zingine mob.
ni vile sijafika those sides in too long.

mazee tuliharibu lugha tukiwa watoi, jo!

mi huhisi sitaruhusu mawanawangu wabonge sheng wakiwa hao. sheng ni ujinga tupu, tebu tuiache enyee...
 
Umecheki ni wanira? si nyiti kenye wana bonga, labda u wavutie nangos washikanishe. natambua wasupa wa bongo though machali ni ma mwere. kismat msupa
hahaha,hii ni ngori kakabrasa..ambia mwanaume ukweli akikula moto shauri yake.
 
Yes !
Wewe ako right! Joo unajua sisi wakenya hata kama tuko na mastress mob hatukuwangi na mudomo ndefu! Tunarimein sailensi !
Sie tuna stick kufaind doo za kukula bai the wei!
Hatuweit mpaka buda akusongeshee ma'doo zake. Hata Nyanyaangu bado anahaso kufaind doo na ni mudosi .

Hahaha wallahi nimeambulia machache tena kwa taabuu...
 
Back
Top Bottom