Githeri
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 811
- 335
Mwambie madhee asikae nje atachomeka na jua. Mazee jua ya pande hii ni noma sana
Na akichomeka atapata homa "mafua " then atadungwa shindano.
Mwambie madhee asikae nje atachomeka na jua. Mazee jua ya pande hii ni noma sana
Kiswahili ya kenya ipo super sana, hata tz guys wana appreciate sana!
Mabuda kuna bibi ya wenyewe nimemgotea, amenijaz johh ako na mahaga...ni supuu but hizo njaro zake...imebidi nimehata...
Lugha huboreshwa muda baada ya muda, Kiswahili kilipoletwa na Waarabu sisi nasi tukakiboresha zaidi.Mimi ni mkenya na wala situmii kilugha mnacho andika hapa...Hiki kilugha mnachoandika hapa si Kiswahili bali ni 'sheng'. Ni kilugha ambacho haswa hutumiwa na vijana wanaojiita madotkom wanaoishi mijini. Pia Kenya Kiswahili kimekuzwa kwa lahaja tofauti tofauti kiasi cha kuwa kiswahili cha mkoa fulani ni tofauti na kingine...Kiswahili huku Kenya hukuzwa sana sehemu za mkoa wa Pwani(coast), kule kwingine ndiko wanachangia kukiharibu kiswahili kwa kukiingiza lugha geni zisizokuwa na maana...
Mi ni mkenya lakini nachukia hizo lugha zinazofananishwa kuwa Kiswahili...Kiswahili ni tofauti kabisa na Sheng... Ubovu wa kilugha hichi ni kuwa kila siku kuna maneno mapya yanayozuka hivyo basi kufanya vigumu kilugha hiki kukua...
Nadhani nimeeleweka hapa.
hahaha,hii ni ngori kakabrasa..ambia mwanaume ukweli akikula moto shauri yake.Umecheki ni wanira? si nyiti kenye wana bonga, labda u wavutie nangos washikanishe. natambua wasupa wa bongo though machali ni ma mwere. kismat msupa
Wewe ni mnira? Jisunde joo!!!!!
Yes !
Wewe ako right! Joo unajua sisi wakenya hata kama tuko na mastress mob hatukuwangi na mudomo ndefu! Tunarimein sailensi !
Sie tuna stick kufaind doo za kukula bai the wei!
Hatuweit mpaka buda akusongeshee ma'doo zake. Hata Nyanyaangu bado anahaso kufaind doo na ni mudosi .
Umecheki ni wanira? si nyiti kenye wana bonga, labda u wavutie nangos washikanishe. natambua wasupa wa bongo though machali ni ma mwere. kismat msupa