KISUTU: Mahakama upande wa Watoto yatupilia mbali shtaka la Hamisa Mobetto dhidi ya Diamond kuhusu malezi ya mtoto wao

Recognition baba,,, walipiga sana kelele humu oh sio vizuri sijui na nini akapewa bichwa sana insta. Na akili yake ndogo sasa atkoma kuringa biashara zilivyo tyt sahivi atatia akili tu.
Wakati angechill angekuwa anabunya tu kimya kimya.
 
Hii ndio aina ya mwanamke ambae sitahitji hata anisogelee...Nashukuru mungu katika wote niliowahi toka nao sijawahi pata chapa mobeto!
 
Ahahahha et wadau nguli wa social media
 
Hopeless kabsa.Kwa hili anajichoresha bora ashushe tu hilo dau.Naona karudisha tena shaur mahakaman tusubiri majibu tena.
 
Kwa hiyo Mobeto hesabu zake za kuzaa na Diamond ilikuwa siyo kwa mapenzi, bali amtumie mtoto kama kiingizo cha mapato. Basi hapo kaula wa chuya!
 
ni
Hii ndio aina ya mwanamke ambae sitahitji hata anisogelee...Nashukuru mungu katika wote niliowahi toka nao sijawahi pata chapa mobeto!
aina ya wanawake wasiyofaa kimahusiano. Hakuna mwanaume anayetaka mwanamke mwenye kushikiwa akili
 
Recognition baba,,, walipiga sana kelele humu oh sio vizuri sijui na nini akapewa bichwa sana insta. Na akili yake ndogo sasa atkoma kuringa biashara zilivyo tyt sahivi atatia akili tu.
Wakati angechill angekuwa anabunya tu kimya kimya.
Beauty wthi no brains boguz sasa amepata kakichaa na bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…