Kisutu, Dar: Robert Kisena apandishwa Kizimbani kwa Utakatishaji fedha, asomewa mashitaka 33

Zakaria gani huyo?
I hope he is not Hans Pope Zakaria....
The dead don't tell the tales.

Zaccheus is dead!
 
Haya makesi makubwa hayanaga part two, rejea Masamaki, Gugai nk
 
Haya mambo inaonekana nyuma yake kuna mkono mrefu usioonekana.

Huyu jamaa kawekwa kati na makundi mawili ya wapigaji, moja kiongozi wao alishatwaliwa, na jingine kiongozi wake bado yupo, ndilo limeshika hatamu kwa sasa, hakika ana mtihani.
Huyo kisena si ilidaiwa ni mtoto wa jakaya!!
 
Mwaka hauishi tutakuwa nao mtaani Hawa jamaa,

Jamhuri Haina Nia ya kuendelea na kesi au kubadilishiwa mashitaka.
 
Milion 750 nadhani alimtapeli ndegesela.

Robert ni mjanja mjanja sana na binam yake kulwa na dogo lakd willi.
Uda nzima ilijaa watu wa malampaka.

Kama kwenye uzi huu atasoma ricardo nichek inbox

Kweli unaielewa hiyo familia.

Baba yake kulwa alimlea sana huyo r. kisena mwishowe huyo mzee akafariki.

Katika kulipa fadhilia na kuitunza familia, nadhani kisena akamuajiri kulwa. Yaani hadi sasa sielewi vipi kulwa yupo ndani.

Ngoja tusubiri tuone
 
Wakati watu wanafanya maufisadi yote haya, wale jamaa wa intelijensia huwa wapo wapi?

Maana pesa yote hiyo huwa haipotei kwa siku moja...
 
Unataka kuonesha nini?

Hawa kwanza watakuwa wamezitia hasara hata baadhi ya benk kwa kuchukua mikopo na kushindwa kulipa.

Wamefanya hata mradi uwe na ujanja ujanja mwingi huku ukiwapa kero wananchi.

Duh...!. Kumbe haya mambo bado yanaendelea?!.
P
 
Wakati watu wanafanya maufisadi yote haya, wale jamaa wa intelijensia huwa wapo wapi?

Maana pesa yote hiyo huwa haipotei kwa siku moja...
Inteligensia wao ni wanyetishaji tu. Hasa ya Tanzania. They do not execute. Wanaotakiwa kufanya execution ndio hao unaona wamewafikisha mahakamani.
Execution ya Intelligence is silent kama ilivyo intelligence yenyewe.
Sasa ipi bora? Kumnyamazisha mtu kabisa milele au kunshtaki mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…