mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
Kisiwa chote kimeungua?? Yaani kama gharika hivi ndio unachomaanisha?!
Alinitangulia madarasa matatu huyo jamaarafiki yangu samweli mnanga namuombea mungu awe salama hapo kome
Huijui kome n hujui chanzo n moto n sehemu iliyoungua n sehem tu ya kisiwa ambapo n makazi ya wavuvi n nihifadhi hawaruhusiwi kujenga nyumba za kudum hivyo kabla hujashauri lijue vizuri eneo husikaVisiwa kama hivi inatakiwa waamishe watu wote wakiuze kwa mtu mwenye hela. Kwanza ni kidogo wakazi 3000 sio wengi wawatoe wampe tajiri afanye yake. Watu 3000 wakizaliana hovyo lazma ujenzi uwe wa kiholela hapo tegemea majanga tu
huko kuna mtu zamani alikuwa anajiita mungu wa piliKisiwa kina wachawi hicho hatari moto utakuwa umeunguza vibuyu na tunguli zao
Ulitaka alete habari ganiMiss bad news.
Huyu binti hajawahi kuleta habari njema hata siku mbili. Kila siku ni bad news tu. Atakaye muoa huyu ajipange
Ndoa, kipaimara, harusi, kupata mtoto, kubariki ndoa, kubalehe etc
Alinitangulia madarasa matatu huyo jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE safi sana ni jamaa yangu tumeishi wote mabibo tulipomaliza mlimani alipata ufadhiri kwan alifaulu vizuri sana alienda kusoma marekani sasa hiv anafundisha shule moja ya kiingereza huko iringa
Kisiwa kina wachawi hicho hatari moto utakuwa umeunguza vibuyu na tunguli zao
Mkuu hakuna uchawi hapo. Jamaa wanakaa na petrol ndani. Nimepita sana hapo kujificha na wimbi la mchangani miaka ya 90
Sent using Jamii Forums mobile app