Dar: Moto mkubwa wazuka Mbezi Tangi Bovu

Mwanashheria njaa

JF-Expert Member
Sep 24, 2018
1,790
2,325
Kuna moto mkubwa pale Mbezi kwa Komba.
---


Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umezuka katika eneo la wafanyabiashara wa samani, lililopo Tangi Bovu-Kwa Komba, mkoani Dar es Salaam, huku ikidaiwa kuwa moto huo umeanza majira ya saa nne usiku ambapo uliendelea kuteketeza mali katika eneo hilo hadi majira ya saa sita usiku
 
Kuna moto mkubwa pale Mbezi kwa Komba

Tunapigwa na kitu kizito chenye ncha kali, nani yuko nyuma ya haya mambo
  1. Ajali ya Baraka Lindi watu 14
  2. Ajali ya Allys Manyoni watu 15
  3. Polisi kuua mlinzi Sinza
  4. Polisi kuua mjasiliamali Iringa
  5. Land slide Hanang watu 60+
  6. Moto mkubwa kwa Komba Mbezi sambamba na Mwenge
  7. Moto mkubwa Mwenge sambamba na kwa Komba Mbezi
  8. Watu 8 wafa kwa mafuriko Tanga
  9. Radi iliyopiga mara 3 huko Mtwara
  10. Jazieni mengine
Yaani ndani ya wiki mbili death toll ni 14+15+1+1+60+8 baki ya huko mahospitalini
 
Tunapigwa na kitu kizito chenye ncha kali, nani yuko nyuma ya haya mambo
  1. Ajali ya Baraka Lindi watu 14
  2. Ajali ya Allys Manyoni watu 15
  3. Polisi kuua mlinzi Sinza
  4. Polisi kuua mjasiliamali Iringa
  5. Land slide Hanang watu 60+
  6. Moto mkubwa kwa Komba Mbezi
  7. Watu 8 wafa kwa mafuriko Tanga
  8. Jazieni mengine
Yaani ndani ya wiki mbili death toll ni 14+15+1+1+60+8 baki ya huko mahospitalini
Ile sio landslide bana
 
Tunapigwa na kitu kizito chenye ncha kali, nani yuko nyuma ya haya mambo
  1. Ajali ya Baraka Lindi watu 14
  2. Ajali ya Allys Manyoni watu 15
  3. Polisi kuua mlinzi Sinza
  4. Polisi kuua mjasiliamali Iringa
  5. Land slide Hanang watu 60+
  6. Moto mkubwa kwa Komba Mbezi
  7. Watu 8 wafa kwa mafuriko Tanga
  8. Jazieni mengine
Yaani ndani ya wiki mbili death toll ni 14+15+1+1+60+8 baki ya huko mahospitalini
Bandari kupewa Waarabu..
TANESCO kusuasua ...
Makonda karudi...
Chalamila kutaka tumkome kama ziwa la mama zetu..
Naibu wa wizara ya katiba kufanya ukatili wa kutisha...
Jangwani hakupitiki..
Watoto wetu hawapendi wala kujuwa masomo ya hesabu na sayansi..
Petroli bei juu, chakula na mahitaji bei juu..
Mvua yatutoa show na miundo mbinu bomu...
Viongozi bata, magari ya kifahari na nyumba za kufa mtu, raia tutajijuwa...
 
Back
Top Bottom