Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,931
- 31,176
Mkuu Matola ni kweli Lema ni Mwamba wa Arusha ukipenda unaweza kumwita jembe la ukweli lakini jiulize ni kwanini ametoswa Kamati kuu ya CDM na M4C ?.Be honest kuna baadhi ya mambo nilisema juu yake leo nafurahi wapo viongozi wakuu wa CDM wananukuu nondo zangu jembe lako siku hizi kampeni zake mwisho Daraja II,Kijenge,Kaloleni,Sombetini,Sokoni na akisogea kidogo Arumeru.
Nakala: Ritz chama TUMBIRI Crashwise Jembe Ulaya EMT
Nakala: Ritz chama TUMBIRI Crashwise Jembe Ulaya EMT
All in all nimefarijika na kufurahishwa kuona kwamba Lema ndio Mwamba wa Arusha, ameendesha kampeni makini na kuwanyang'anya CCM kata ya daraja mbili licha ya CCM kuwatumia majambazi kama Mjusi kutisha wapiga kura.
Lema ndio Arusha na Arusha ndio Lema, najuwa hii kwako ni ngumu kumeza lakini habari ndio hiyo. ukitaka kulijuwa hili vizuri muulize Chatanda, Wassira au Ole Sendeka.
Last edited by a moderator: