Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
umekasilika watu kusoma biblia kama vile ni mali ya kanisa !!! programming itawamaliza
Nikasirike ya nini wakati kuichukua na kuisoma ni kuikubali kwa njia nyingine.wangapia walisoma hawakurudi nyuma.jaribu waulizia wapakistani, afghnistan na Saudi Arabia muislam akikutwa na Biblia nini kinamkuta.Na atahitaji nguvu nyingi sana za kuwa convince kuwa hajaukimbia uislam huku akipigwa viboko.Sababu ya kuwanyima ni moja kuwa wakisoma wataijua kweli na kweli itawaweka huru.
programminig ipi inayozidi ya kaina ponda,wakiamua wamwaga njiani kama magunia mnaingia huku mkiwa hamjui nini mnachotaka achieve?leo mfumo Kristu, kesho baraza la mitihani,leo kuachia kwa Ponda.