usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,870
Mkitengeneza barabara dsm na dodomaNi wapi huko ambako awamu ya 5 haijafikisha maji?
TUNATEKELEZA.
Ndo mnasema nchi imekua kiuchimi
Mkitengeneza barabara dsm na dodomaNi wapi huko ambako awamu ya 5 haijafikisha maji?
TUNATEKELEZA.
Wapi kaandika futi 20 mil 9?Futi20 mil9 we jamaa utapigwa danya makes u hYa mambo madogo tumieni mafundi wa hapo kijijini n wewe mweneyewe tumia common skills comon skills matofali ,safruji ,nondo, mchanga kokoto lZima ujue bei na kiwango idadi
Yy kamaanisha anamwaka wa kumi SasaMiaka 10? Ni bora uyafungulie ukinge mengine.
Ndio.Mkitengeneza barabara dsm na dodoma
Ndo mnasema nchi imekua kiuchimi
Nyie n vilaza tu Kama hao wanaongoza
Hakika,wala hujakosea kabisa.Nyie n vilaza tu Kama hao wanaongoza
Hayawezi kuwa na vumbi,ni Kama tumeyatumia mara nyingi,isitoshe tutaweka dawa. Japo sawa hayawezi kuwa sawa na ya kisima kwa ubora. Tuna compare na gharama pia. Asante kwa maoni pia sister.Maji ya mvua yana vumbi sana. Aidha, huwa yananuka sana yakikaa muda mrefu. Hivyo, ushauri wangu ni kuchimba kisima.
Daah...! Umeua kamanda,asante sana. Hilo la cement yupo mtaalam atasimamia. Isitoshe kuhusu tofali kaniambia tutatumia hizi za kuchoma ila atazipanga kama unavyojengwa msingi ili kuufanya huo ukuta wake usipungue futi moja upana wake,hiyo ni kuanzia chini mpaka juu. Zaidi umeongezea kitu ambacho yeye hakusema kuhusu hiyo karatasi la nailoni nyeusi kwa chini. Asante sana mkuuHakuna tatizo, utapunguza gharama kubwa sana. 20' deep, 15' diameter gharama inaweza kufika 4m au zaidi kutegemeana na eneo husika.
Muhimu tu utumie tofali imara, usiwe bahili wa cement, ukiweza weka wire mesh ili kuimarisha kuta, chini weka ile nailoni nyeusi ili kuzuia maji kupotea, jenga msalaba ili kuimarisha kuta na hakikisha unalifunika ili mwanga wa jua usipenye ndani. Ukifanya hivi hata hizo water guard utaweka kwa utashi tu ilà haitakuwa lazima.
Utaokoa gharama nyingi kununua maji.
Nikishauanza huu mpango nitakuwa nakucheck kwa maswali kwa baadhi ya vipengele mkuu. Asante sanaMaji unayachuja, unatengeneza chamber yenye chujio kabla ya kuingia yanapitia hapo yanachujwa then yanaingia kwa shimo. Vumbi hakuna hapo.
Maji ya mvua ukiyahifadhi vizuri, Yanakaa hata mwaka na yanakuwa vilevile kama umeyakinga leo. Cha msingi ni yahifadhiwe semehu ambayo mwanga wa jua hauyafikiiMaji ya mvua yana vumbi sana. Aidha, huwa yananuka sana yakikaa muda mrefu. Hivyo, ushauri wangu ni kuchimba kisima.
Hahahaha, akili zako wewe anazijua Luwasa peke yake.Miaka 10? Ni bora uyafungulie ukinge mengine.
Karibu sana mkuu!Nikishauanza huu mpango nitakuwa nakucheck kwa maswali kwa baadhi ya vipengele mkuu. Asante sana
Duuh...! Asante sana mkuu,kunileta huku ambako sikufikiria kabisa kuhusu calculation ya namna ya matumizi pia. Lakini nafikiri hapo mkuu tufanye 3000÷6 ksbb ile miezi ya kuanzia wa 11 mpaka wa 4,5 hapo ni sawa na kwamba tutakuwa hatutumii maji yetu ya kisima,japo tutakuwa tunatumia,lakini yanarudishiwa zaidi kwa mvua zitakazokuwa zinaendelea kwa kipindi cha miezi hiyo. Kwa hiyo maji ya akiba zaidi tutaanza hesabu nayo mwezi 5,6,7,8,9,10 ambayo kutakuwa hakuna mvuaLita 60,000 ni sawa na ndoo za maji 3,000 (ndoo 1 ni lt 20)
3,000÷12=250 ie ndoo 250 kwa mwezi au ndoo 9 kwa siku. Fanya tathmini hapo kwako unatumia ndoo ngapi kwa siku, then utakua na jibu.
Hujapuliza bangi leo.Maji ya mvua yana vumbi sana. Aidha, huwa yananuka sana yakikaa muda mrefu. Hivyo, ushauri wangu ni kuchimba kisima.
Sio kwamba miaka 10 anatumia hayo hayo yaliyomo kwenye kisima. Anamaanisha ametumia maji ya mvua kwa miaka 10 bila athari yoyote. Hata hivyo kukujibia hilo,kila mwanzo wa mvua,mfano kila mwisho wa mwezi 10 kila mwaka nafikiri kisima kinasafishwaMiaka 10? Ni bora uyafungulie ukinge mengine.
we jamaa bora Mungu akuchukue tuNi wapi huko ambako awamu ya 5 haijafikisha maji?
TUNATEKELEZA.
Sawa mkuu,nalo neno. Kuna Eli79 amesema ni kama milioni 4 hivi. Au wewe unaona gharama inaweza kuwa sawa na milioni 9 mkuu?Futi20 mil9 we jamaa utapigwa danya makes u hYa mambo madogo tumieni mafundi wa hapo kijijini n wewe mweneyewe tumia common skills comon skills matofali ,safruji ,nondo, mchanga kokoto lZima ujue bei na kiwango idadi