Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kafirisika kisiasaMwanasihasa yeyote anayefurahia kuchukua wanachama kutoka chama kingine cha sihasa hafikiri sawa sawa!
In God we Trust
Kafirisika kisiasaMwanasihasa yeyote anayefurahia kuchukua wanachama kutoka chama kingine cha sihasa hafikiri sawa sawa!
Baada ya kusikia kuwa Mbowe kala bilioni nane peke yake hajawapa hata mia alitegemea wabaki? lazima wamkimbie
Leo chadema lazima pressure iwapande MAMBO KIMYA KIMYA POLE POLE ANAFANYA KISAYANSI Chadema anawashtukiza tu wanakuta bomu hilo limeshawalipukia bila hata intelligensia yao kunusa!!! wanabaki midomo wazi na leo midomo lazima iwe wazi