Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Nikki wa Pili jana amefanya jambo kubwa sana la kutoa hati miliki za kimila kwa ranchi 24 kwa wafugaji katika kijiji cha mafizi kwa ajili ya malisho ya mifugo 17920.
Lengo ni kuondoa migogoro ya ardhi, kuboresha huduma za mifugo, uvunaji wa bidhaa zitokanazo na mifugo,kukusanya kodi,kutunza mazingira na mazao ya wakulima.
Hilo nj Jambo la kuigwa Sana na kupigiwa mifano, hakika kazi inafanyika sana nchi hii.
Mama Samia kanyaga twende, shikilia hapohapo.
Kazi iendelee #kisarawe mpya#
Lengo ni kuondoa migogoro ya ardhi, kuboresha huduma za mifugo, uvunaji wa bidhaa zitokanazo na mifugo,kukusanya kodi,kutunza mazingira na mazao ya wakulima.
Hilo nj Jambo la kuigwa Sana na kupigiwa mifano, hakika kazi inafanyika sana nchi hii.
Mama Samia kanyaga twende, shikilia hapohapo.
Kazi iendelee #kisarawe mpya#