Haya Maendeleo makubwa Kisarawe chini ya Mkuu wa Wilaya Nikki wa Pili yanatisha

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,200
27,255
Ukiuniliza kwa sasa ni wilaya gani inakua kwa kasi kubwa sana ya maendeleo basi ni wilaya ya Kisarawe chini ya mkuu wa wilaya Nikki wa Pili.

Kuna Maendeleo ya kutisha sana Kisarawe, madarasa na vituo vya afya vimekamilika kwa 100%.

Sasa hivi kupitia makusanyo ya ndani kuna miradi mikubwa sana ya maendeleo, na kupitia mkuu wa wilaya huyu wananchi wenyewe wanajitolea kushiriki shughuli zote.

Haya ni mambo makubwa na ya kuigwa, hakika Kisarawe imepata kiongozi.

Nitumie nafasi hii kuwatia moyo viongozi wote wa Kisarawe wakiongozwa na Mh.Nikki ili kuendelea kuleta maendeleo makubwa zaidi na kuifanya kisarawe kuwa ya mfano.

#kazi iendelee#
#TSSH 2025#

20220208_183027.jpg
 
Ukiuniliza kwa sasa ni wilaya gani inakua kwa kasi kubwa sana ya maendeleo basi ni wilaya ya kisarawe chini ya mkuu wa wilaya Nikki wa Pili.

Kuna Maendeleo ya kutisha sana kisarawe, madarasa na vituo vya afya vimekamilika kwa 100%...

Wazee wa mapambio
 
Ukiuniliza kwa sasa ni wilaya gani inakua kwa kasi kubwa sana ya maendeleo basi ni wilaya ya kisarawe chini ya mkuu wa wilaya Nikki wa Pili.

Kuna Maendeleo ya kutisha sana kisarawe, madarasa na vituo vya afya vimekamilika kwa 100%...
Kwani misukule ya Mwendazake wao wanasemaje?
 
Ukiuniliza kwa sasa ni wilaya gani inakua kwa kasi kubwa sana ya maendeleo basi ni wilaya ya kisarawe chini ya mkuu wa wilaya Nikki wa Pili.

Kuna Maendeleo ya kutisha sana kisarawe, madarasa na vituo vya afya vimekamilika kwa 100%...
Sasa hizo picha ulizoweka mbona hakisi kile unacho kizungunzia au ndo madaraja hao?
 
Ukiuniliza kwa sasa ni wilaya gani inakua kwa kasi kubwa sana ya maendeleo basi ni wilaya ya kisarawe chini ya mkuu wa wilaya Nikki wa Pili.

Kuna Maendeleo ya kutisha sana kisarawe, madarasa na vituo vya afya vimekamilika kwa 100%...

Mnakuwaga mnalipwa kiasi gani kuandika mambo ya kijinga kama haya?

Niki ana kipi ambacho unadhani kimetekelezwa hakikuwa kwenye mpango wa Wilaya ya Kisarawe?

Kipi hakikuwa kwenye plan ya Serikali kiasi kwamba Niki anastahili kupongezwa kwa kukikamilisha?
 
Ukiuniliza kwa sasa ni wilaya gani inakua kwa kasi kubwa sana ya maendeleo basi ni wilaya ya kisarawe chini ya mkuu wa wilaya Nikki wa Pili.

Kuna Maendeleo ya kutisha sana kisarawe, madarasa na vituo vya afya vimekamilika kwa 100%...
Waliopita wote ni watumishi wa umma kama Nikki sasa.. inakuaje sasa kuwe na maendeleo ya kutisha mpaka raia wanakimbia mji? Kwan wengine hawakua wanapewa access ya kufanya maendeleo? Unatuaminisha kua serikali inabagua??
 
Back
Top Bottom