Kapigwaje pesa kiajeWadau ni story ya kweli na mpk Sasa Kuna mzee kastaafu jeshi kapigwa pesa mpk namuonea huruma na tupo kwenye mpango wa kumsanua
Matapeli ni wengi sana ila haya mambo yapo sanaWadau ni story ya kweli na mpk Sasa Kuna mzee kastaafu jeshi kapigwa pesa mpk namuonea huruma na tupo kwenye mpango wa kumsanua
1kg ya mecury ni zaidi ya laki mojaThanx kuniongezea maarifa, vp kuhusu hii biashara ni kweli ina ukwasi wa kutisha au ndio matapeli kazini?
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Alikula na mzigoKwahiyo kijana alimuaga mkewe akawa ameshavunja masharti dah!😀😀😀
Hpn zipo za aina mbili Kuna ile original ambayo ipo ktk mfumo wa kimiminika ni hatari Sana ile ukiishika inatoboa mkonoMercury hii inayotumika machimboni kwenye dhahabu au nyingine? Mbona kuna kuna watu wanaiuza japo bei ghali lkn sijawahi kusikia hizo story za utafutaji wa aina hio. Matapeli ni wengi kuwa makini.
Nitaleta story yake hapa inahuzunisha