green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,308
- 35,852
Niagazie na andazi moja au bajiaMiaka 5 iliopita nilipata tamaa ya kutafuta rupia lkn wkt naendelea nikaskia kuhusu mekyuri.
Bei ya mekyuri ilinishtua sana ilinipa tamaa ya kwenda kutafuta
Mekyuri inapatikana kwenye mapango ya nyoka wakubwa ili uipate ni lzm nyoka atoke nje
Nilikutana na mzee mmoja huko milima ya Usambara akasema ipo sehemu na alishatoa mwanzo akadhurumiwa na Dada mmoja wa Kenya kwahio Kama nataka twende lkn malipo ni mpk tutoe mzigo
Masharti unatakiwa usilale na mwanamke na usiage unaenda wapi. Nilitimiza masharti
Lkn kwasababu skua mzoefu na mazingira alitafutwa kijana mwengine tukaelezana akakubali na akasema ataingia yeye. Akaelezwa masharti akakubali.
Siku ikafika tukaenda eneo la tukio hakika panatisha Sana. Tulivyofika tulikuta jiwe kubwa lenye tundu kubwa kuzama ndani.
Mzee akakita fimbo pembeni zaidi ya pango Kisha akapaka dawa mdomo na kumwaga dawa eneo lile.
Alivyopiga mluzi tu ebwana bonge la nyoka mithiri ya tairi la trekta lile kubwa. Alivyotoka nyoka yule alifika kwenye ile fimbo akatulia.
Kijana akaambiwa ingia kachote mzigo tuondoke.
Jamaa akaingia zilivyopita dk 2 aisee mashine ikajikunjua ikawa inarudi kwenye pango na jamaa bado yupo ndani
Ilibaki story jamaa hajatoka tena tuliskia kelele kwa mbali sana
Tukaondoka na kufika nyumbani tukamkuta mke wake anasema jamaa kamuaga anaenda kutafuta mekyuri. Mzee akajua jamaa alivunja miiko.
Hakika tangu siku hio naogopa sana kila nkikumbuka tukio hilo
Utajiri ni mgumu aisee
Mkuu usi sahau kuni tagSubiri usiku kukiwa kumetulia
AyaMiaka 5 iliopita nilipata tamaa ya kutafuta rupia lkn wkt naendelea nikaskia kuhusu mekyuri.
Bei ya mekyuri ilinishtua sana ilinipa tamaa ya kwenda kutafuta
Mekyuri inapatikana kwenye mapango ya nyoka wakubwa ili uipate ni lzm nyoka atoke nje
Nilikutana na mzee mmoja huko milima ya Usambara akasema ipo sehemu na alishatoa mwanzo akadhurumiwa na Dada mmoja wa Kenya kwahio Kama nataka twende lkn malipo ni mpk tutoe mzigo
Masharti unatakiwa usilale na mwanamke na usiage unaenda wapi. Nilitimiza masharti
Lkn kwasababu skua mzoefu na mazingira alitafutwa kijana mwengine tukaelezana akakubali na akasema ataingia yeye. Akaelezwa masharti akakubali.
Siku ikafika tukaenda eneo la tukio hakika panatisha Sana. Tulivyofika tulikuta jiwe kubwa lenye tundu kubwa kuzama ndani.
Mzee akakita fimbo pembeni zaidi ya pango Kisha akapaka dawa mdomo na kumwaga dawa eneo lile.
Alivyopiga mluzi tu ebwana bonge la nyoka mithiri ya tairi la trekta lile kubwa. Alivyotoka nyoka yule alifika kwenye ile fimbo akatulia.
Kijana akaambiwa ingia kachote mzigo tuondoke.
Jamaa akaingia zilivyopita dk 2 aisee mashine ikajikunjua ikawa inarudi kwenye pango na jamaa bado yupo ndani
Ilibaki story jamaa hajatoka tena tuliskia kelele kwa mbali sana
Tukaondoka na kufika nyumbani tukamkuta mke wake anasema jamaa kamuaga anaenda kutafuta mekyuri. Mzee akajua jamaa alivunja miiko.
Hakika tangu siku hio naogopa sana kila nkikumbuka tukio hilo
Utajiri ni mgumu aisee
Alipelekwa mikoani huko akalalishwa kwenye mapori yenye miamba mikubwa ya kutisha na baridi kali alirudi mgonjwa wa homa kali na kifua.. Lakini wahuni bado wakambambika mercury fekeloTuletee mkuu itutoe ushamba
Wasaka mercury na wasaka mali za mjerumani akili zao zinafanana.. Kama hiyo mali inalipa kiasi hicho basi hiyo biashara ingevamiwa na wengiKumbe haya mambo ni kweli? Kuna mzee mmoja alishanisimulia kuwa anasaka mekyuri kwenye mapango na ml 500 yaani kopo dogo la maji la sh. 500 unauza milioni mia tano nikamwambia umepotea-sijui kama alishapata lakini
MgwashiHuyo mzee wa kisambaa anapatikana wapi?
Hakika hawa jamaa watakuwa na shida sehemu, kuna mdau mmoja kataja kuwa ni biashara ya kuwalaghai wastaafu na nimekubaliana nae kwa kiwango kikubwa maana hata huyo mzee aliyenipa stori za mekyuri na kuomba nimpe pesa akakomboe mzigo wake ni mstaafu.Wasaka mercury na wasaka mali za mjerumani akili zao zinafanana.. Kama hiyo mali inalipa kiasi hicho basi hiyo biashara ingevamiwa na wengi
Wastaafu na vijana waliopigika mitaaniHakika hawa jamaa watakuwa na shida sehemu, kuna mdau mmoja kataja kuwa ni biashara ya kuwalaghai wastaafu na nimekubaliana nae kwa kiwango kikubwa maana hata huyo mzee aliyenipa stori za mekyuri na kuomba nimpe pesa akakomboe mzigo wake ni mstaafu.
Hii biashara itakuwa ni ya kijanja janja na haipo katika uhalisia isipokuwa kuwapora wasiojielewa.
Afadhali umetembelea huku mkuu, vipi ni kweli hii mekyuri tajwa inapatikana mapangoni na inatiririka kwa matone kidogo kidogo 💧💧💧Wastaafu na vijana waliopigika mitaani
...Majina tu Mkuu. Kuna Mercury Sayari na kuna Mercury Madini.Ivi iyo mekyuri si ni sayari ama
Sijajua tatizo linakuwa wapi kwa hao madogo. Yupo dogo mmoja naye hivo hivo kila neno la A anaweka H.
Na neno VIZURI hawezi kabisa andika yeye anaandika VINZURI.
Nawaza kumchinjia Ngamia.
Labda huko misitu ya Amazon tena katikati kwenye majoka na miamba mikubwa na kufika huko ni mtihani mkubwaAfadhali umetembelea huku mkuu, vipi ni kweli hii mekyuri tajwa inapatikana mapangoni na inatiririka kwa matone kidogo kidogo
Ina vyote ukweli na utapeli.Kama ilivyo madini kuna ukweli na utapeliThanx kuniongezea maarifa, vp kuhusu hii biashara ni kweli ina ukwasi wa kutisha au ndio matapeli kazini?
Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app