Kisa kilichotokea wakati wa kutafuta mekyuri

Miaka 5 iliopita nilipata tamaa ya kutafuta rupia lkn wkt naendelea nikaskia kuhusu mekyuri.

Bei ya mekyuri ilinishtua sana ilinipa tamaa ya kwenda kutafuta

Mekyuri inapatikana kwenye mapango ya nyoka wakubwa ili uipate ni lzm nyoka atoke nje

Nilikutana na mzee mmoja huko milima ya Usambara akasema ipo sehemu na alishatoa mwanzo akadhurumiwa na Dada mmoja wa Kenya kwahio Kama nataka twende lkn malipo ni mpk tutoe mzigo

Masharti unatakiwa usilale na mwanamke na usiage unaenda wapi. Nilitimiza masharti

Lkn kwasababu skua mzoefu na mazingira alitafutwa kijana mwengine tukaelezana akakubali na akasema ataingia yeye. Akaelezwa masharti akakubali.

Siku ikafika tukaenda eneo la tukio hakika panatisha Sana. Tulivyofika tulikuta jiwe kubwa lenye tundu kubwa kuzama ndani.

Mzee akakita fimbo pembeni zaidi ya pango Kisha akapaka dawa mdomo na kumwaga dawa eneo lile.

Alivyopiga mluzi tu ebwana bonge la nyoka mithiri ya tairi la trekta lile kubwa. Alivyotoka nyoka yule alifika kwenye ile fimbo akatulia.
Kijana akaambiwa ingia kachote mzigo tuondoke.

Jamaa akaingia zilivyopita dk 2 aisee mashine ikajikunjua ikawa inarudi kwenye pango na jamaa bado yupo ndani

Ilibaki story jamaa hajatoka tena tuliskia kelele kwa mbali sana

Tukaondoka na kufika nyumbani tukamkuta mke wake anasema jamaa kamuaga anaenda kutafuta mekyuri. Mzee akajua jamaa alivunja miiko.

Hakika tangu siku hio naogopa sana kila nkikumbuka tukio hilo

Utajiri ni mgumu aisee
Niagazie na andazi moja au bajia
 
Miaka 5 iliopita nilipata tamaa ya kutafuta rupia lkn wkt naendelea nikaskia kuhusu mekyuri.

Bei ya mekyuri ilinishtua sana ilinipa tamaa ya kwenda kutafuta

Mekyuri inapatikana kwenye mapango ya nyoka wakubwa ili uipate ni lzm nyoka atoke nje

Nilikutana na mzee mmoja huko milima ya Usambara akasema ipo sehemu na alishatoa mwanzo akadhurumiwa na Dada mmoja wa Kenya kwahio Kama nataka twende lkn malipo ni mpk tutoe mzigo

Masharti unatakiwa usilale na mwanamke na usiage unaenda wapi. Nilitimiza masharti

Lkn kwasababu skua mzoefu na mazingira alitafutwa kijana mwengine tukaelezana akakubali na akasema ataingia yeye. Akaelezwa masharti akakubali.

Siku ikafika tukaenda eneo la tukio hakika panatisha Sana. Tulivyofika tulikuta jiwe kubwa lenye tundu kubwa kuzama ndani.

Mzee akakita fimbo pembeni zaidi ya pango Kisha akapaka dawa mdomo na kumwaga dawa eneo lile.

Alivyopiga mluzi tu ebwana bonge la nyoka mithiri ya tairi la trekta lile kubwa. Alivyotoka nyoka yule alifika kwenye ile fimbo akatulia.
Kijana akaambiwa ingia kachote mzigo tuondoke.

Jamaa akaingia zilivyopita dk 2 aisee mashine ikajikunjua ikawa inarudi kwenye pango na jamaa bado yupo ndani

Ilibaki story jamaa hajatoka tena tuliskia kelele kwa mbali sana

Tukaondoka na kufika nyumbani tukamkuta mke wake anasema jamaa kamuaga anaenda kutafuta mekyuri. Mzee akajua jamaa alivunja miiko.

Hakika tangu siku hio naogopa sana kila nkikumbuka tukio hilo

Utajiri ni mgumu aisee
Aya
 
Kumbe haya mambo ni kweli? Kuna mzee mmoja alishanisimulia kuwa anasaka mekyuri kwenye mapango na ml 500 yaani kopo dogo la maji la sh. 500 unauza milioni mia tano nikamwambia umepotea-sijui kama alishapata lakini
Wasaka mercury na wasaka mali za mjerumani akili zao zinafanana.. Kama hiyo mali inalipa kiasi hicho basi hiyo biashara ingevamiwa na wengi
 
Watanzania wengi tunapenda kutumia imani za kishirikina kutafuta madini.wakati akija mzungu kawekeza hana chota na kuondoka.
 
Wasaka mercury na wasaka mali za mjerumani akili zao zinafanana.. Kama hiyo mali inalipa kiasi hicho basi hiyo biashara ingevamiwa na wengi
Hakika hawa jamaa watakuwa na shida sehemu, kuna mdau mmoja kataja kuwa ni biashara ya kuwalaghai wastaafu na nimekubaliana nae kwa kiwango kikubwa maana hata huyo mzee aliyenipa stori za mekyuri na kuomba nimpe pesa akakomboe mzigo wake ni mstaafu.
Hii biashara itakuwa ni ya kijanja janja na haipo katika uhalisia isipokuwa kuwapora wasiojielewa.
 
Hakika hawa jamaa watakuwa na shida sehemu, kuna mdau mmoja kataja kuwa ni biashara ya kuwalaghai wastaafu na nimekubaliana nae kwa kiwango kikubwa maana hata huyo mzee aliyenipa stori za mekyuri na kuomba nimpe pesa akakomboe mzigo wake ni mstaafu.
Hii biashara itakuwa ni ya kijanja janja na haipo katika uhalisia isipokuwa kuwapora wasiojielewa.
Wastaafu na vijana waliopigika mitaani
 
Sijajua tatizo linakuwa wapi kwa hao madogo. Yupo dogo mmoja naye hivo hivo kila neno la A anaweka H.
Na neno VIZURI hawezi kabisa andika yeye anaandika VINZURI.
Nawaza kumchinjia Ngamia.


Namuuliza mama yako vipi
Ananiambia bado ANAHUMWA HUMWA
Nimemwambia ukikosa kazi kwa mwandiko huu utamlaumu nani
Ananiambia eti kazoea hivyo
 
Wadau ni story ya kweli na mpk Sasa Kuna mzee kastaafu jeshi kapigwa pesa mpk namuonea huruma na tupo kwenye mpango wa kumsanua
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom