Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,878
- 18,895
Hii account mbona sio ya Ray C.Haya sasa Ray C naye kajibu mashambulizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tazama hapaaaa 👇👇👇👇👇
View attachment 2843423
View attachment 2843425
View attachment 2843426
Hii account mbona sio ya Ray C.Haya sasa Ray C naye kajibu mashambulizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tazama hapaaaa 👇👇👇👇👇
View attachment 2843423
View attachment 2843425
View attachment 2843426
Mungu kamnusuru Jide kula ngada lakini suala la BANGI lipoje kwake?Bifu lilianzia baada ya hii interview aliyofanyiwa Chid Benz ,Chid alishauri Lady Jaydee akaimbe Gospel miaka miwili akae sawa ndipo arudi tena kwenye bongo fleva .
View attachment 2843396
Sasa lady Jaydee aliona kama hii dharau fulani hivi akajibu mashambulizi 👇👇👇👇👇
View attachment 2843397
Ikumbukwe Lady Jaydee na Chid Benz walishawahi kuwa na bifu miaka hiyo ya nyuma mpaka ikapelekea Lady Jaydee kumfuta na kufuta verse alizofanya Chid Benz kwenye video ya wimbo wa UPO JUU japo si Chid wala Lady Jaydee aliyejitokeza kujibu sababu haswa ilikuwa ni Nini japo habari za chini chini inasemekana Chid akimtongoza Lady Jaydee,Lady Jaydee akaona kama kavunjiwa heshima na Chid ukizingatia amemuacha kiumri mbali sana.Lakini wengine wanadai Chid alimvimbia Lady Jaydee kuna baadhi ya gharama za ziada alikuwa anahitaji ikiwemo nguo za kushutia video,nauli nk maana kipindi hicho alienda Kenya kwenye show ,,Jide akaona isiwe shida akamfuta.
Twende kazi,
Ikumbukwe pia Chidi siku za hivi karibuni amekuwa mtu wa malalamiko kila kukicha akilaumu wasanii wenzake kutomsaidia, mara amlaumu Diamond anarudisha wasanii wenzake nyuma maana anapenda kusujudiwa ,mara amlaumu Manara nk
Tazama moja ya video yake hapa chini 👇👇👇👇
View attachment 2843405View attachment 2843406
Sasa ghafla bin vuuuu 😂😂😂naona Ray C katoka huku mafichoni kaja kununua ugomvi kana kwamba ujumbe wa Lady Jaydee ulikuwa unamuhusu yeye.
Ray C akarusha kijembe kwa Jide kwamba heri ya yeye mla unga lakini amezaa kuliko Jide ambaye ni tasa.
Tazama hapa 👇👇👇👇
View attachment 2843408
Baada ya hicho kijembe Cha Ray C ,Jide akaja tena kujibu mashambulizi .
Tazama tena 👇👇👇👇
View attachment 2843410
Mashabiki nao hawakuwa nyuma ,wametoa nao michango yao.
Tazama 👇👇👇
View attachment 2843411
View attachment 2843413
Ikumbukwe bifu la Jaydee na Ray C lilidumu kwa muda mrefu kipindi hicho sababu kuu inayoaminika na wengi ilikuwa kugombania kuwa juu kila mmoja kuona yupo juu kuliko mwenzake.
Baadaye hilo bifu liliisha na wakafanya wimbo wa pamoja unaoitwa Namlaumu kama sikosei.
Wakawa marafiki kimtindo na kushirikiana mambo mbalimbali kutembeleana nk.
Tazama hapa picha Yao ya pamoja.
View attachment 2843414
Tunangojea majibu kutoka kwa Ray C tuone atajibu nini, tupo standby😂😂😂😂😂
kwanini wanawake hampendani? NumbisaDuh aiseee wanawake hatupendani hasa kwenye maslahi
Nitajie hit song 5 za ray cKaa pembeni jay dee hakuwahi kumuacha Ray c ,jay dee han hit sema ni mtu ambaye kapta sapot nzuri kwa wasanii wa kiume kaimba nyimbo kibao na Mwana Fa ,professor j na wengine kibao.
Ray c jeshi la mtu mmoja wewe ,ngoma zake zimehit jay dee kazi kutafuna maneno.
Enzi hizo wazee wa viuno alikuwa Ray c na best wa Marlaw huyo jay dee wako kazi kuimba kama mwanaume
Kama zote zilikuwa hit yaani alikuwa ni idol wa wanawake kama wote ,jay dee ego kibao na kabebwa na collabo za wanaume ...Nitajie hit song 5 za ray c
Umeshindwa kuzitaja hizo hit songsKama zote zilikuwa hit yaani alikuwa ni idol wa wanawake kama wote ,jay dee ego kibao na kabebwa na collabo za wanaume ...
1.Umenikataa 2.upo wapi ( hii shooting yake ni nje 3.sogea sogea 4.Na wewe milele 5. Wanifuata wa nn.Umeshindwa kuzitaja hizo hit songs
Mi naamini jide hata akiamua kwenda kupandikiza anapata mttRay C aaache ukuda. Hicho kitoto anachomringia Jide haijui kesho yake. Atambue hata Jidde hakuupenda Ugumba. Tejja haez ongea logic
Ni uchizi kujibizana na mtu mwenye matatizoHuyo Ray C anajishtukia. Jide alikua anamjibu Chid Benz ambaye ndiye alimuanza kwa kuongea upimbi.
Halafu watoto wadogo acheni kumfananisha Jide na upuuzi wowote ule.
naam sura ya kazi na anapiga dildo warembo kama ww.nje ya mada: aisee jaydee ni mbovu wa suraa mkurya yulee!
Yes, angekaa kimya. Maana Chid ni mfurahisha genge tu. Ni wa kuhurumia. Sema Jide ni mkaksi na ni mtu wa hasira.Ni uchizi kujibizana na mtu mwenye matatizo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisi huku tunasema waendelee kucharurana mpk tujue vya ndaaaaani ndaaaani kabisaa...
Kwenye Hitsong nyingi Inahitaji mdahalo.Ray C ana ngoma kali inaitwa "unanimaliza" aliitoa around 2017 ila haiku-hit lakini ni bonge la ngoma. Video yake ame-act msanii Rammy Galis.
Sikujua kama hawa watu wamewahi kuwa na beef labda nilishasahau.
Ukiwa-compare wote wawili, JD ana hit song nyingi kuliko Ray C. Kuna siku clouds walipiga karibu song zote alizoimba JD sikuamini kama ana nyimbo nyingi sana alizoimba.
Wote wawili wameshafanya collabo na Rashid.