Kisa Chid Benz, bifu la Lady Jaydee na Ray C laibuka upyaaaaaa

Media moja imtafute doto wa Rashid
Anaenda kama Katwila nae aanze kulaumu wasanii wenzake
Q Chief alianza kupotezwa na Ruge kipindi hicho wameenda kufanya show kama sikosei Mwanza ilikuwa.

Wasanii wamefanya show ,Ruge akasema kuhusu pesa yao ya show wasubiri hatowalipa siku hiyo, Chila akaona sio kweli akamzaba kibao Ruge ,basi baada ya hapo Ruge akamfungia vioo mazima Chila na huo ukawa mwanzo wa Chila kupotea kwenye gemu.
 
Jide ana kisirani sana, anajiona star mkubwa sana na kiburi ila pia stress zinamsumbua.

Kuna siku nilikuwa airport kwenye yale madirisha ya kukata ticket na kuulizia ratiba za ndege,nikashangaa mtu ananigusa begi eti kaka naomba nipishe nina haraka,nikamwambia ungewahi kabla yangu subiri huko, basi akaanza kufoka pale, ana kisirani sana nadhani ndo maana hana hata marafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
aisee
 
Narejea hapohapo kwenye bifu la yeye na Chid Benz

Nakumbuka aliwahi kutunga dis track ambayo alishirikiana na wasanii wake wa Machozi band, ngoma ilikwenda kwa jina la KUMBE NILIZAMA KWA BRAZAMEN na hii ilikua ni dis track kwa Chid Benz baada ya kumtaka uroda.

Pia hata ile track NALIA NA MOYO aliyomshirikisha Mr Blue alitakiwa akae Chid Benz ila kwakua walizinguana akampa Shavu Mr Blue........
Kumbeee!!!!
 
Q Chief alianza kupotezwa na Ruge kipindi hicho wameenda kufanya show kama sikosei Mwanza ilikuwa.

Wasanii wamefanya show ,Ruge akasema kuhusu pesa yao ya show wasubiri hatowalipa siku hiyo, Chila akaona sio kweli akamzaba kibao Ruge ,basi baada ya hapo Ruge akamfungia vioo mazima Chila na huo ukawa mwanzo wa Chila kupotea kwenye gemu.
Kumbe kupotea kwa Chila hii pia ndio chanzo. Chila ana old school Kali sana.
 
Nilifurahi sana Ray C alivyobadilika na kuamua kubadilisha lifestyle yake...sasa ni yeye na Mungu wake na maisha yake

Haya maisha kuna mahala inafika Mtu anahitaji Tumaini la kweli katika Kristo.

Maisha ya namna hii hayana majuto kama ukiyaishi bila unafiki.
Ray C alizidi kunoga baada ya kupunguza lile limwili akarudi kwenye umodo .
 
Ninachokumbuka RC alikuwaga mzuri namaanisha mrembo zamani.
Mpaka sasa bado ni mzuri sana na hivi amebarikiwa macho ya kichokozi ndio kabisa anazidi kunoga 🤣🤣🤣🤣🤣

1734752075.jpg
 
Back
Top Bottom