Utawagharamia studioHivi lile bifu kati ya ma legendary kwenye mziki wa bongo fleva, rehema chalamila aka Ray c pamoja na commando lady jaydee liliishia wapi? natamani kuona collabo kati ya wasanii hawa wawili waliowahi kutamba enzi hizo kwenye muziki wa bongo fleva
Asubuhi yake itakua bado. Ebu tumpe muda kidogo. Ata jide alitushtukiza tu mpaka akaamka.Si angeomba collabo na jide waamke pamoja, naona ray c kalala usingizi wa pono
Asubuhi yake itakua bado. Ebu tumpe muda kidogo. Ata jide alitushtukiza tu mpaka akaamka.
Na yeye anataka kuamka tena?? ahahaha ahahaha yule kashazimia binamu kuamka sio leo, halafu ray c alikua mkali sana kwa mauno enzi zake ,jide alikua haoni ndani, tatizo mauno yake kayatumia vibaya kaishia kuwakatia akina mwampamba na yule aliyemfundisha kula unga matokeo yake kayaonaHaaa Ray C anaomba msaada wadau wamsaidie anataka Kuamka.. ila mazingira yake magumu
Atumie nyenzo mbadala... Ata bakora tu mbona itam supportHaaa Ray C anaomba msaada wadau wamsaidie anataka Kuamka.. ila mazingira yake magumu
Ukiona ivyo basi Jide shujaa....miaka iyo mpaka leo akitoka bado tunamuelewa!!! Sio kazi raisi basi...Na yeye anataka kuamka tena?? ahahaha ahahaha yule kashazimia binamu kuamka sio leo, halafu ray c alikua mkali sana kwa mauno enzi zake ,jide alikua haoni ndani, tatizo mauno yake kayatumia vibaya kaishia kuwakatia akina mwampamba na yule aliyemfundisha kula unga matokeo yake kayaona
warumipost: 15672366 said:Si angeomba collabo na jide waamke pamoja, naona ray c kalala usingizi wa pono
Nafikiri pia kuwa na management ni muhimu sana kwa msanii but i don't think kama ray c has got management pia sidhani kama amekwishapona yale mambo yetu yale....Na yeye anataka kuamka tena?? ahahaha ahahaha yule kashazimia binamu kuamka sio leo, halafu ray c alikua mkali sana kwa mauno enzi zake ,jide alikua haoni ndani, tatizo mauno yake kayatumia vibaya kaishia kuwakatia akina mwampamba na yule aliyemfundisha kula unga matokeo yake kayaona