warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
Mwanamuziki mkongwe nchini, Rehema Chalamila aka Ray C amemtembelea msanii mwenzie mkongwe nchini Lady Jaydee na kupeana mawili matatu huku wakifarijiana na kukumbushiana enzi zao, hata hivyo kupitia ukurasa wake wa instagram mwanamuzik lady jaydee amempa pole mwanamuziki mwenzio huyo ambaye alikumbwa na janga la madawa ya kulevya, na kumsihi akaze moyo hili arudi kama zamani waweze kulisongesha gurudumu la muziki pamoja