Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,616
- 21,434
- Thread starter
- #121
Yeaaaah Ruge amechangia kwa kiasi kikubwa kumpoteza.Kumbe kupotea kwa Chila hii pia ndio chanzo. Chila ana old school Kali sana.
Yeaaaah Ruge amechangia kwa kiasi kikubwa kumpoteza.Kumbe kupotea kwa Chila hii pia ndio chanzo. Chila ana old school Kali sana.
Bifu lilianzia baada ya hii interview aliyofanyiwa Chid Benz ,Chid alishauri Lady Jaydee akaimbe Gospel miaka miwili akae sawa ndipo arudi tena kwenye bongo fleva .
View attachment 2843396
Sasa lady Jaydee aliona kama hii dharau fulani hivi akajibu mashambulizi ๐๐๐๐๐
View attachment 2843397
Ikumbukwe Lady Jaydee na Chid Benz walishawahi kuwa na bifu miaka hiyo ya nyuma mpaka ikapelekea Lady Jaydee kumfuta na kufuta verse alizofanya Chid Benz kwenye video ya wimbo wa UPO JUU japo si Chid wala Lady Jaydee aliyejitokeza kujibu sababu haswa ilikuwa ni Nini japo habari za chini chini inasemekana Chid akimtongoza Lady Jaydee,Lady Jaydee akaona kama kavunjiwa heshima na Chid ukizingatia amemuacha kiumri mbali sana.Lakini wengine wanadai Chid alimvimbia Lady Jaydee kuna baadhi ya gharama za ziada alikuwa anahitaji ikiwemo nguo za kushutia video,nauli nk maana kipindi hicho alienda Kenya kwenye show ,,Jide akaona isiwe shida akamfuta.
Twende kazi,
Ikumbukwe pia Chidi siku za hivi karibuni amekuwa mtu wa malalamiko kila kukicha akilaumu wasanii wenzake kutomsaidia, mara amlaumu Diamond anarudisha wasanii wenzake nyuma maana anapenda kusujudiwa ,mara amlaumu Manara nk
Tazama moja ya video yake hapa chini ๐๐๐๐
View attachment 2843405View attachment 2843406
Sasa ghafla bin vuuuu ๐๐๐naona Ray C katoka huku mafichoni kaja kununua ugomvi kana kwamba ujumbe wa Lady Jaydee ulikuwa unamuhusu yeye.
Ray C akarusha kijembe kwa Jide kwamba heri ya yeye mla unga lakini amezaa kuliko Jide ambaye ni tasa.
Tazama hapa ๐๐๐๐
View attachment 2843408
Baada ya hicho kijembe Cha Ray C ,Jide akaja tena kujibu mashambulizi .
Tazama tena ๐๐๐๐
View attachment 2843410
Mashabiki nao hawakuwa nyuma ,wametoa nao michango yao.
Tazama ๐๐๐
View attachment 2843411
View attachment 2843413
Ikumbukwe bifu la Jaydee na Ray C lilidumu kwa muda mrefu kipindi hicho sababu kuu inayoaminika na wengi ilikuwa kugombania kuwa juu kila mmoja kuona yupo juu kuliko mwenzake.
Baadaye hilo bifu liliisha na wakafanya wimbo wa pamoja unaoitwa Namlaumu kama sikosei.
Wakawa marafiki kimtindo na kushirikiana mambo mbalimbali kutembeleana nk.
Tazama hapa picha Yao ya pamoja.
View attachment 2843414
Tunangojea majibu kutoka kwa Ray C tuone atajibu nini, tupo standby๐๐๐๐๐
Bado hujajibu swali langu.Ndio nakuambia sasa ...lady jaydee enzi izo alikuwa anashabikiwa na washamba kwa vile hata swaga hana mpaka leo mshamba , Ray c alishamuweka chini kweny kila kitu ,Ray c alifananishwa na Besta .
Unazungumzia band na nyimbo za juzi ...kwanza tumia akili Ray c alikuwa na swaga kitambo ni mtoto wa mjni anajua kucheza na video ,jaydee bado ni mshamba kwa Ray c huo ndio ukweli.Hii ni miezi mitatu nyuma!
Tusirudi nyuma ambako najua ray C hajawahi kumfikia Jide Kwa lolote. Nitajie international awards ambazo huyo ray C aliwahi kuwa nominated tu.
Mimi naanza na JIDE Kora awards
Jide aliwahi kumiliki band iliwahi kuwa na show back to back sio Tanzania.
Unasema Jide sio jeshi la mtu mmoja au umekuja mjini juzi. Kafuatilie sababu za Jide Kusema Ruge akifa hatfika mwenye msiba wake na yeye Jide akifa Ruge asifike kwenye msiba wake View attachment 2843787
Sawa mkuu.Ungetumia akili hii ku analyse mambo ya siasa, wewe ni bonge la mwandishi, very good, detailed analysis......
Short, but clear ingawa sijawahi jua chochote kuhusu yeyote, nimejua history, current status na what to expect.
Kadiria namaliza shule ya msingi wewe baso hujazaliwa.Bado hujajibu swali langu.
Una miaka mingapi?
Hao bifu lao la muda mrefu sana.Ray C ana ngoma kali inaitwa "unanimaliza" aliitoa around 2017 ila haiku-hit lakini ni bonge la ngoma. Video yake ame-act msanii Rammy Galis.
Sikujua kama hawa watu wamewahi kuwa na beef labda nilishasahau.
Ukiwa-compare wote wawili, JD ana hit song nyingi kuliko Ray C. Kuna siku clouds walipiga karibu song zote alizoimba JD sikuamini kama ana nyimbo nyingi sana alizoimba.
Wote wawili wameshafanya collabo na Rashid.
Kwenye kumfananisha Ray C na Besta nakataaa ni sawa na kufananisha andazi na jeneretaNdio nakuambia sasa ...lady jaydee enzi izo alikuwa anashabikiwa na washamba kwa vile hata swaga hana mpaka leo mshamba , Ray c alishamuweka chini kweny kila kitu ,Ray c alifananishwa na Besta .
Ilikuwa ni competition kweny kucheza tu..Kwenye kumfananisha Ray C na Besta nakataaa ni sawa na kufananisha andazi na jenereta
Besta na li mwili lile asingeweza kumkuta Ray C labda macho tuIlikuwa ni competition kweny kucheza tu..
Kaangalie ile ngoma inaitwa "kip kipo kati yetu"Besta na li mwili lile asingeweza kumkuta Ray C labda macho tu
Sahivi ukimuona Besta hutomjua amekuwa jimama la haja
Aishwarya Rai kaachika huko kwa Abhishek ,umesikia?RayC naye amejishtukia tu. Mbona jide ni rafiki mkubwa tu wa TID ambaye naye ashatumia madawa. imenifanya niingize spotify kusikiliza nyimbo za jide
Wanafuata nini kuna vinanda hatari back in 20041.Umenikataa 2.upo wapi ( hii shooting yake ni nje 3.sogea sogea 4.Na wewe milele 5. Wanifuata wa nn.
Taja hizo za sauti ya zege!
Bila shaka wewe ni hiki kizazi cha 2000.Kadiria namaliza shule ya msingi wewe baso hujazaliwa.
Huyo jaydee si makamo ya kina salama jabir hapo hata Mwana Fa hamkuti na walishaingia kweny bifu.
Jay dee hana ukongwe huo toa porojo zako anatoka hapa watu washafanikiwa ,anajikomba kwa malengend wakina sugu na professor j.Bila shaka wewe ni hiki kizazi cha 2000.
Bila shaka wewe ni hiki kizazi cha 2000.Kadiria namaliza shule ya msingi wewe baso hujazaliwa.
Huyo jaydee si makamo ya kina salama jabir hapo hata Mwana Fa hamkuti na walishaingia kweny bifu.
Besta alikuwa ana kata kiuno hatari, ila sura mbovu.Kwenye kumfananisha Ray C na Besta nakataaa ni sawa na kufananisha andazi na jenereta
Kaangalie ile ngoma inaitwa "kip kipo kati yetu"
Umemkuta kashazeeka na ndoa ndio ilimmaliza kabisa.
View: https://youtu.be/gLD09VgwHkg?si=zqlWsjnxViKrkr0K
Na ndio mwaka huyo komando katoka๐๐Bila shaka wewe ni hiki kizazi cha 2000.
Sawa.Jay dee hana ukongwe huo toa porojo zako anatoka hapa watu washafanikiwa ,anajikomba kwa malengend wakina sugu na professor j.
Ray c anaenda kushoot video london huyo jaydee bado anashoot video na nguo za mtumba ,wewe ulimpenda kwa vile ulikuwa upo kijijini kwenu basi huku mjini hakuwa na swaga.