Kisa cha Mfalme wa Nyika Simba Kibogoyo

Kisa cha Mfalme wa Nyika Simba Kibogoyo

aiseee unapaswa kuwa na uwezo mkubwa kuelewa hii hadithi. Simba si Simba. Simba bila Meno inakuwa shida kumla Nyati.
 
We utakua unamsema yule jamaa wa WASAFI Yule
Lakini yule si aliweka na magrill ya gold kabisa
Siku hzi anayo meno
 
Siku hizi nina mkosi lakini NAJUA WAZI KUWA UJUMBE UMEMFIKIA MLENGWA KWANI HUWA ANAPITIAGA HAPA!!! [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Huyu Chizi kweli kweli. Nimehesabu hizo awamu zake za kichizi nakubaini anastahili ban.
 
Wengine naona mmeamua kushambuliana baada ya kushindwa kuielewa hii thread na kazi nzuri ya kifasihi aliyoileta mwenzetu. Hivi WABONGO tumelogwa na naniii???

[emoji122] [emoji122] mleta Uzi hongera sanaaa. Umeiweka sawa siku yangu
 
Duh ! ... Utawala wa fisi umetia fola aiseee... Hongera mkuu
 
Fisi alisubiri mkono udondoke lakini haukudondoka by JK
 
Mwisho mfalme simba kibogoyo aliahidi kuwalinda wafalme wote waliomtangulia
 
da.. nmeifurahia sana hii thread...

hadith tam sana...

ila hao wafalme kama nawajua iv[emoji87]
 
Back
Top Bottom