Kisa cha dada mpenda raha

Kisa cha dada mpenda raha

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
[h=3]IMENILAZIMU KUZIWEKA PICHA HIZI,DAAH MREMBO WAWATU KATIKATI YA DIMBWI JAMAA AKAMUANGUSHA--DSM[/h]

Dada akiwa amebebwa alipokuwa akivushwa kwa malipo kwenye dimbwi la maji ya mvua eneo la Magomeni Kagera, Dar es Salaam Mbebaji akiwa amemwangusha dada huyo kwenye dimbwi Dada akimkunja kijana aliyemdondosha kwenye dimbwi. Wasamaria wema wakimsaidia dada kumtoa kwenye dimbwi Dada akilia baada ya kuokolewa.
PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA

 
Mbwembwe nyingine azifai kuna yule mwingine niliona nae alibebwa kwenye mkokoteni wadada eti anaogopa kukanyaga maji jamani......!!!
 
UBWANYENYE tu sasa analia nini, mbona hatujaona kuwa kamong'onyoka baada ya kuzama humo majini!!

Angekuwa kweli anajali sana kukwepa madimbwi ya maji angeishi Masaki huko...
 
UBWANYENYE tu sasa analia nini, mbona hatujaona kuwa kamong'onyoka baada ya kuzama humo majini!!

Angekuwa kweli anajali sana kukwepa madimbwi ya maji angeishi Masaki huko...
amefedheheka jamani....aibuuu
 
kaogopa maji mguuni misho wasiku kaogelewa na kila kitu kikaogelea
 
Dada wa watu katoa pesa ili apewe huduma aliyoilipia,sasa kama simu ya dada watu imeingia maji huyo dogo atamlipa?huyo dogo ni mshenzi sana,napingana naye kwa kile alichokitenda kwa kweli.
Nalog off
 
UBWANYENYE tu sasa analia nini, mbona hatujaona kuwa kamong'onyoka baada ya kuzama humo majini!!

Angekuwa kweli anajali sana kukwepa madimbwi ya maji angeishi Masaki huko...

Kweli mkuu, na angekua na gari yake wala si wa kutembea kwa miguu.
 
Kila nikiangalia hii kitu najiskia huruma na kicheko, halafu huyu ni mwana JF fulani hivi, sio ladyfurahia kweli kabebwa na saudari? Kuna kipindi hizi ndio zilikua dili za wapwa zangu MANI na zumbemkuu mteja wao mkubwa alikua ni dada Paloma na Aine huku Mr Rocky akipokea mshiko tu na watu8 akitoa receipt

Pole mpenzi
 
Last edited by a moderator:
Rated as thread of the Year
CC; Invisible

Ukameramani kazi kweli kweli, sasa Bujibuji ulikua wapi wakati haya yote yanatokea? au ulikula deal na huyo mbebaji? Nouma sana, maana hizi picha sio za satelite wa za simu ya mchina hii ni camera kubwa!!!Hongera
 
Last edited by a moderator:
alimuangusha makusudi au bahati mbaya....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom