Kisa cha dada mpenda raha

Kisa cha dada mpenda raha

Kila nikiangalia hii kitu najiskia huruma na kicheko, halafu huyu ni mwana JF fulani hivi, sio ladyfurahia kweli kabebwa na saudari? Kuna kipindi hizi ndio zilikua dili za wapwa zangu MANI na zumbemkuu mteja wao mkubwa alikua ni dada Paloma na Aine huku Mr Rocky akipokea mshiko tu na watu8 akitoa receipt

Pole mpenzi

Umesahau kuwa kijiwe chetu kilikuwa ni Vingunguti Dampo au mitaa ya Tabata...teh teh
 
Kila nikiangalia hii kitu najiskia huruma na kicheko, halafu huyu ni mwana JF fulani hivi, sio ladyfurahia kweli kabebwa na saudari? Kuna kipindi hizi ndio zilikua dili za wapwa zangu MANI na zumbemkuu mteja wao mkubwa alikua ni dada Paloma na Aine huku Mr Rocky akipokea mshiko tu na watu8 akitoa receipt

Pole mpenzi
haaaaa haaaa kwiiiiiiiii kwiiiiiiiiiii, Elli nawe huna siriiiiiiiii!!!!!!!!!!!!
 
Kila nikiangalia hii kitu najiskia huruma na kicheko, halafu huyu ni mwana JF fulani hivi, sio ladyfurahia kweli kabebwa na saudari? Kuna kipindi hizi ndio zilikua dili za wapwa zangu MANI na zumbemkuu mteja wao mkubwa alikua ni dada Paloma na Aine huku Mr Rocky akipokea mshiko tu na watu8 akitoa receipt

Pole mpenzi

Mpwa ni uvivu na kujishebedua sasa alichokimbia ni nini maana angelowa miguu sasa mwili wote maji machafu !
 
Hahahahaha LOL!!!! Nilianza kucheka baada ya kuona umenitaja katika uzi huu hata kabla sijafungua kujua umeandika nini, ila nilishahisi umeandika nini 🙂🙂 Haya banaaaaa ukikua utaacha LOL! :majani7: :majani7: :majani7:Wish you a lovely and enjoyable day 🙂🙂




ahahahaha, mpwa Elli hizo dili niliachaga siku nyingi zilikuwa zinahatarisha ndoa yangu, huyo binti ni Fixed Point na BAK ndo alimbeba,
 
Last edited by a moderator:
Kila nikiangalia hii kitu najiskia huruma na kicheko, halafu huyu ni mwana JF fulani hivi, sio ladyfurahia kweli kabebwa na saudari? Kuna kipindi hizi ndio zilikua dili za wapwa zangu MANI na zumbemkuu mteja wao mkubwa alikua ni dada Paloma na Aine huku Mr Rocky akipokea mshiko tu na watu8 akitoa receipt

Pole mpenzi

hahahaaaaa.........duh! mpwa umenikumbusha mbali.......siku ile nilivogoma kubebwa, so saudari na Safari_ni_Safari wakanishika mikono huku na huku wakati mie nakanyaga vijimawe mlivopanga. Kufika kati eti saudari akaona namchelewesha kaniwekaje begani sasa........hahahahhaaaaa!!
Siku nyiiiiiiingi nlikuwa sijabebwa aisee!!!
 
Last edited by a moderator:
Inatia huruma kwa dada, ila namashaka na huyo dogo mbebaji kama alikula dili na mpiga picha vile.! Maana kila hatua jamaa alikuwa anafuatilia tukio?.

Mjini hapa!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Elli, mi ni kama refa, kila sehemu ninakuwepo kamili na zana zangu
Rated as thread of the Year
CC; Invisible

Ukameramani kazi kweli kweli, sasa Bujibuji ulikua wapi wakati haya yote yanatokea? au ulikula deal na huyo mbebaji? Nouma sana, maana hizi picha sio za satelite wa za simu ya mchina hii ni camera kubwa!!!Hongera
 
Last edited by a moderator:
Ukute na walimuaibia...vibaka wa dar ni noma
 
Hongera Mwaya umeingia mtandaoni bila kutegemea umetuongezea siku za kuishi kwani tumecheka wakati yeye analia.
 
duh jamani....nlianza kumsikitikia hadi niliposoma comment ya LexAid hahahahahahahahahahahahahahahah. Kumbe iyo ndo grey...sijawah kuona za ivyo zikiuzwa aisee!!!
 
Last edited by a moderator:
aisee kazi kweli kweli alianza kwa kucheka akaishia kulia
IMENILAZIMU KUZIWEKA PICHA HIZI,DAAH MREMBO WAWATU KATIKATI YA DIMBWI JAMAA AKAMUANGUSHA--DSM



Dada akiwa amebebwa alipokuwa akivushwa kwa malipo kwenye dimbwi la maji ya mvua eneo la Magomeni Kagera, Dar es Salaam Mbebaji akiwa amemwangusha dada huyo kwenye dimbwi Dada akimkunja kijana aliyemdondosha kwenye dimbwi. Wasamaria wema wakimsaidia dada kumtoa kwenye dimbwi Dada akilia baada ya kuokolewa.
PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA

 
Kusema kweli kijana amemdhulumu na amekusudia kumrowanisha binti asiye na hatia Kwani alimlipa fedha kwa mapatano!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom