Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Wandugu,
kuna hii kitu kwa wachaga inaitwa "Kiruhuo Mawoko" yaani "kifungua mikono"
Kwa wasio wachagga: ni ile fedha/mali yako ya kwanza pindi uanzapo kazi/biashara unayowapatia wazazi ili kufungua mikono yako kupokea bara nyingi zaidi kwenye kazi uifanyayo.
Na kimila ni mshahara wote wa kwanza au kama ni mkulima tunaeza sema mavuno yote ya kwanza.
My questions are;
1. Is it still viable to date? -katika hali ya sasa ya kimaisha na kiuchumi.
2. Kama ulitoa mara ya kwanza ulipoanza kazi, je unapobadili kazi do u still give the first produce?
3. Of what benefit is it really?
kuna hii kitu kwa wachaga inaitwa "Kiruhuo Mawoko" yaani "kifungua mikono"
Kwa wasio wachagga: ni ile fedha/mali yako ya kwanza pindi uanzapo kazi/biashara unayowapatia wazazi ili kufungua mikono yako kupokea bara nyingi zaidi kwenye kazi uifanyayo.
Na kimila ni mshahara wote wa kwanza au kama ni mkulima tunaeza sema mavuno yote ya kwanza.
My questions are;
1. Is it still viable to date? -katika hali ya sasa ya kimaisha na kiuchumi.
2. Kama ulitoa mara ya kwanza ulipoanza kazi, je unapobadili kazi do u still give the first produce?
3. Of what benefit is it really?