Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
location please!Karibu kwangu siku moja asubuhi,.😊
Niko! La charz hapa.
location please!Karibu kwangu siku moja asubuhi,.😊
Hivi kulwa bado unapendaga kiporo cha ugali?Asantee Sanchez magoli
Hivi kulwa bado unapendaga kiporo cha ugali?
Umesahau na maziwa fresh pembeni, ukimaliza unashushia.😋Kiporo cha ugali na maini roast ni 🔥🔥🔥
Oh yeah😋😋Napenda sana kiporo cha makande au mihogo ya futari na chai ya rangi...
Njoo hapa Shekilango mwendokasi twen'zetulocation please!!!
Niko! La charz hapa.
Daaah, nimekula kiporo cha rosti ya kuku na chapati ya motoooo nimemaliza sasahivi + chai ya mchaichai😋😋😄raha jamani
Sogea Rombo Green View Hotel kuna Hilux Double Cabin nyeupe imepaki kwa nyuma imebeba miche ya mapapai.Njoo hapa shekilango mwendokasi twen'zetu
Bado upo?Sogea rombo green view hotel kuna hilux double cabin nyeupe imepaki kwa nyuma imebeba miche ya mapapai.
Mimi binafsi yangu napenda kula uongo dhambi nile chakula nienjooooyy hata nsipotoka out i don't care sana😉😀Ningeshangaa kama nisingekuta wali na kisamvu.😋
Halafu nimegundua, wanawake mnapenda sana kula😀😀
Uko sahihi kabisaa mimi one of ma' hobby ni KULA nile chakula kizuri ndio maana napenda kupika saaana...am not fat but I've little bit fat😉😉Nimesoma maelezo yake btn lines nimegundua kaandika kutoka moyoni. Mtu anaye enjoy chakula to that extent lazima awe kibonge tu.
Natania tu bana kula muhimu.Uko sahihi kabisaa mimi one of ma' hobby ni KULA nile chakula kizuri ndio maana napenda kupika saaana...am not fat but I've little bit fat
Karibu confessor food&BBQ..
Nimetoka; Niko Mlandizi Ngeta.Bado upo??
Niko visiga,.njoo basi😁😁Nimetoka; Niko mlandizi ngeta.
Napanda miche.
Tokea mwezi wa ramadhani nachengwa Mimi!!! hahaha not fair.
hahaha hivi venga unavyonipiga.Niko visiga,.njoo basi😁😁