QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
leo nimefanikiwa kusikiliza kipindi cha PATA PATA katika radio ya WAPO FM 98.0. Kulikuwa na wasikilizaji wanatuma ujumbe wa maandishi kuhusu taarifa zilizokuwa zinatolewa. katika kipindi nilichokuwa nasikiliza jumla ya sms 12 zimesomwa na zililenga katika maeneo matatu:-
- zilizokuwa zinasema Dr. Slaa songa mbele, Tutawang'oa mafisadi = 9 = 75%
- Zilizosema Upinzani hauwezi kushinda kiti cha uraisi bila kuungana =1 = 8.3%
- Zilizoungamkono kitendo cha jeshi kutoa tamko hapo juzi = 2 = 16.7%
- Zilizosema JK Juu = 0 = 0%