Kipindi cha Block 89 kimepatwa na nini?

Kipindi cha Block 89 kimepatwa na nini?

Troublemaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,809
Reaction score
40,562
Habari zenu?

Ni ghafla tu leo ndio nimegundua hiki kipindi kilichokuwa hewani kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 2 usiku hadi saa 5 usiku, hakipo kwa sasa pale Wasafi FM huku kukiwa hakuna taarifa zozote.

Wale wanyapiaji hiki kipindi imekuwaje tena?
 
Wewe subiri uongozi wao wataongea ila kilichobugi kwenye kipindi hiki ni kumweka mtu imara yule jamaa hamna kitu hajui kuuliza maswali sijui walitumia kigezo gani kumuajiri? kipindi kilitakiwa wabaki jonijo na Aaliyah basi ndo wapo vizuri.
 
Contents zake zinaendana na THE SWITCH saa 8 mchana, so hicho kinatafutiwa content zake mpya
 
Huyo jamaa anae jiita mtu imara ndo amekua mvuruga kipindi sana.....jamaa yani sijui alisomea wapi uandishi wa habari aisee.......

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba Kuna watu dunia hii wanabahati ile mbaya Jamaa kaziba ridhiki ya mtu anayestahili Hana tofauti na wafoji vyeti unakuta mtu unapata ajira kumbe una cheti feki yule mwenye cheti halali anakosa ajira.Jamaa anakula mshahara wa bure aisee.
 
Huyo jamaa anae jiita mtu imara ndo amekua mvuruga kipindi sana.....jamaa yani sijui alisomea wapi uandishi wa habari aisee.......

Sent using Jamii Forums mobile app
Pale hakuna mambo ya kusomea uandishi wa habari,cha msingi wewe jua tu kumsifia sifia Diamond huko mitandaoni,m-post kwa sana tu then ushapata kazi tayari hapo usafini.
 
Pale hakuna mambo ya kusomea uandishi wa habari,cha msingi wewe jua tu kumsifia sifia Diamond huko mitandaoni,m-post kwa sana tu then ushapata kazi tayari hapo usafini.
Hiyo haipo tu kwa Wasafi karibia media zote za bongo za entertainment hawaangalii usomeaji wa habari ndio maana clouds walimuajiri gigy money,idriss n.k majizo kamwajiri Steve nyerere,zwebe n.k pale e-fm
 
Hiyo haipo tu kwa Wasafi karibia media zote za bongo za entertainment hawaangalii usomeaji wa habari ndio maana clouds walimuajiri gigy money,idriss n.k majizo kamwajiri Steve nyerere,zwebe n.k pale e-fm
Na EATV/Radio walimuajiri nani baada ya kumsifu Mengi/Regina?
 
Back
Top Bottom