Tafuta wako na wewe ukisssss acha wivuMoja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?
Acha masihara so nikitaka kufaidi inawezekana?diva ni tango pori linalojiuza haliuziki
Hivi Diva ndio nani?
Mkuu; upo kama mimi, clouds media kwangu siyo source makini ya kupata hbr za kuaminika. Hawa jamaa kwenye good news hawapo kabisa... Huko kwenye ekotite, lilwyne kuamshiwa ukunga, milkmill kuonekana na kanzu mitaa ya newyork kwao ndiyo hbr za kutwa nzima.Mi kwangu stori yoyote toka tv na radio clouds ni ujinga samahan kwa ambao hizo ni sosi za habari zenu?????
Yani nimecheka kwanguvu balaa. Hahahah edit upya kwamba "Aliyekuwa hawara mkuu wa kiongozi wa juu wa Iran,hahah"Hawara Mkuu Wa Mbunge Pekee Wa Upinzani Ambaye Siku Hizi Anavaa Suti Za Kikorea Aina Ya Chung Lai.
Hawara Mkuu Wa Mbunge Pekee Wa Upinzani Ambaye Siku Hizi Anavaa Suti Za Kikorea Aina Ya Chung Lai.
Yani nimecheka kwanguvu balaa. Hahahah edit upya kwamba "Aliyekuwa hawara mkuu wa kiongozi wa juu wa Iran,hahah"
QmmaqoMku.und!() mkubwa!
Kama wa mama yako..Mku.und!() mkubwa!