Kipindi cha Ala za Roho Clouds FM kinakiuka maadili

DissDotCom

JF-Expert Member
Mar 31, 2014
395
268
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?
 
sasa kwenye radio umeonaje ?

Halafu inabidi watu mpimwe ujinga wenu ndio mpost

Nahisi anamaanisha kuwa tukio lilitokea kwenye studio za radio ila labda waliokuwepo ndani waliojikuta record sasa labda ile clip ndo inasambaa
 
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?
Kama wasikulizaji hawakuona hamna tatizo hapo
 
Nahisi anamaanisha kuwa tukio lilitokea kwenye studio za radio ila labda waliokuwepo ndani waliojikuta record sasa labda ile clip ndo inasambaa
Tatizo la clouds na ala za roho lipo wapi ?

mwanaume kulia lia kwa makosa ya watu wengine waliovujisha picha ni upimbi wa upimbi
 
Tatizo la clouds na ala za roho lipo wapi ?

mwanaume kulia lia kwa makosa ya watu wengine waliovujisha picha ni upimbi wa upimbi


Mi kwangu stori yoyote toka tv na radio clouds ni ujinga samahan kwa ambao hizo ni sosi za habari zenu?????
 
Mi kwangu stori yoyote toka tv na radio clouds ni ujinga samahan kwa ambao hizo ni sosi za habari zenu?????
kila kitu ni maamuzi hata ukisema kila anachoongea rais ni ujinga yatakua maamuzi yako sina muda wa kupingana na maamuzi yanayoongozwa na hisia
 
kila kitu ni maamuzi hata ukisema kila anachoongea rais ni ujinga yatakua maamuzi yako sina muda wa kupingana na maamuzi yanayoongozwa na hisia

Hata hapa tunajadili hisia zako
 
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?



Yaani bado unasikiliza Clouds FM mpaka leo? Hii radio watangazaji wake wengi ni wa kuokota kwa kisingizio cha chakula cha boss na ndiyo maana hawajitambui kwa kufanya maujinga bila kuchukuliwa hatua yeyote.
 
Moja kwa moja naanza na hoja kuu, hivi ni kweli wamiliki wa radio clouds fm wanaruhusu mambo machafu yafanyike studioni wakati wa kipindi cha ala za roho kiendeshwacho na DIVA, siku chache zilizopita alimualika mshiriki wa BBA na mpenzi wake Wema sepetu na kuwaamuru wakiss ambapo wawili hapo hawakusita na kuanza ku####na denda live ambapo ni kinyume na maadili ya kitanzania. Video hizo sasa zimesambaa mitandaoni zikiwaonyesha wawili hao wakidendeka vya kutosha, Je ni mafunzo gani kwa vijana wetu?


Clouds tena, hawa watu hawana watangazaji bali majinamizi tu.
 
Back
Top Bottom