Kipimo sahihi cha akili ya binadamu ni nini?

Kipimo sahihi cha akili ya binadamu ni nini?

Ndio nini sasa hiki, mbona akiendani na mada husika, wakati mwingine mnakuwa na uwezo mdogo sana wa kufikiri.
Kipimo sahihi cha akili ni kumcha Bwana na kujitenga na uovu. Ukimuona mtu ambaye anamcha Mungu na pia amejitenga na uovu ujue huyo ana akili nyingi sana. Aliye kinyume na huyo ndiye asiye na akili. Mkuu, umenipata???
 
Kipimo sahihi cha akili ni kumcha Bwana na kujitenga na uovu. Ukimuona mtu ambaye anamcha Mungu na pia amejitenga na uovu ujue huyo ana akili nyingi sana. Aliye kinyume na huyo ndiye asiye na akili. Mkuu, umenipata???
Sijakupata, inakuaje kumcha Mungu kiwe kipimo cha akili?
 
Rafiki ujaelewa wapi? Nimesema kutambua au utajuaje kuwa una akili chukua umri wako na matendo utajua una una akili kiasi gani. Kwamba IQ(intelligent quotient) is the number that ranges from 0-200+ and ratio that is divided by comparing mental age to chronological age. The intelligence quotient is defined as 100 times the mental age(MA) divided by the chronological age (CA).

Hence IQ =mental age /chronological age ×100. Kwa mfano sasa wewe una miaka 25 nimeona kwenye profile yako, Lakini swali umeuliza kama mtoto mwenye miaka 15, Ili kutambua uwezo wako : 100 × 15 ÷25 fanya hesabu hiyo jibu utakalo Pata ndio uwezo wako kiakili, kumbuka jibu likiwa wastani wa 80-89 upo Chini ya wastani, ikiwa 70-79 una akili duni, ikiwa Chini ya 70 una utindio wa ubongo.
Iyo 15 umeitoa wap!???
 
KUmbuka kuwa ulizaliwa ikiwa ni empty hiyo kichwa lkn kutokana na malezi shule dini unavyoona kwa jamii matukio unavyitafisiriwa ndo baada ukaita akili kwa ukiwa na uwezo wa kutunza kumbukumbu vzur na ukakumbuka kwa wkt utaitwa una akili sana lkn sio ivyo wewe it like empty cd there u start to install things kwa hiyo akili aina kipimo hata ukizimia ukiamka utarejewa na kumbukumbu zako tena ss akili hatuna kwa sababu hizi tunazoita akili zetu tumeingiziwa tu inabidi utafute akili zako
 
Matumizi sahihi ya akili kwa wakati sahihi ktk kutatua jambo linalohitaji matumizi ya akili kwa wakati huo....
 
wewe umepigajee hesabu mpaka upate hiyo 10? nahisi umekosea uwezi kupata 10 kumbuka ikiwa Chini ya 70 ina maana wewe ni unakili ndogo sana yaani tahira

Hapa naomba ufafanuzi kidogo,,,huyo jamaa mwenye 25yr anafikiri kama mtu wa 15yr hesabu lake kwa kanuni yake anapata 60 ina mana ni taahira?
 
Binadamu alie kamilika anazaliwa na vitu vitatu Utashi,ufahamu au maarifa na Akili
Tofauti yetu na wanyama ni utashi tu Utashi ni kitendo cha kujua mabaya na mazuri bhasi sifa hyo ndo pekee inayotutofautisha na wanyama

Ufahamu au maarifa ni mkusanyiko wa ujuzi,uelewa,taarifa,ambazo mtu anazipata kupitia uzoefu iwe kazini,shuleni na mala nying ufahamu hupatikana huko

Akili ni uwezo wa kutumia maarifa au ufahamu na ni watu wachache sana upewa uwezo huu kwani Akili ni kipawa kutoka kwa mungu hakuna sehemu yeyote duniani wanayoongeza au kumfanya mtu awe na akili ila kuna sehemu ya kumfanya mtu awe na ufahamu au maarifa tu ndo maana Mungu aliposema watu wake wanaangamia kwa kukosa maarifa alijua maarifa yanapatikana dunian aidha kwa kusoma ,au uzoefu hakusema akili kwa kujua Akili anatoa yeye
 
Rafiki ujaelewa wapi? Nimesema kutambua au utajuaje kuwa una akili chukua umri wako na matendo utajua una una akili kiasi gani. Kwamba IQ(intelligent quotient) is the number that ranges from 0-200+ and ratio that is divided by comparing mental age to chronological age. The intelligence quotient is defined as 100 times the mental age(MA) divided by the chronological age (CA).

Hence IQ =mental age /chronological age ×100. Kwa mfano sasa wewe una miaka 25 nimeona kwenye profile yako, Lakini swali umeuliza kama mtoto mwenye miaka 15, Ili kutambua uwezo wako : 100 × 15 ÷25 fanya hesabu hiyo jibu utakalo Pata ndio uwezo wako kiakili, kumbuka jibu likiwa wastani wa 80-89 upo Chini ya wastani, ikiwa 70-79 una akili duni, ikiwa Chini ya 70 una utindio wa ubongo.
mimi sjafahamu kweli rafiki, MATENDO yangu ntayajuaje? naomba unifanyie calculation plz
 
mimi sjafahamu kweli rafiki, MATENDO yangu ntayajuaje? naomba unifanyie calculation plz
Rafiki kuna mwanasaikolojia mmoja anaitwa Alfred Binet 1904, Binet was passionate about testing and measuring human IQ or Capabilities. Alikuja na formula yake ya namna ya kutambua akili ya mwanadamu. Yaani IQ= Mental age / Chronological age × 100.
Kwa mfano wewe una miaka 25 lakini kwa mwonekano na matendo yako hayafani na umri wako kabisa, yawezekana tunaokutazama matendo unayofanya ni matendo ya mtoto wa miaka 15. Sasa ili tujue uwezo wako kiakili tunatumia kanuni yetu ya IQ= Mental age/ Chronological age × 100.

Your IQ is : 100 × 44/ 25 = 60 This low IQ . tayari tunapata jibu kwamba sio kosa lako , Bali ni tahira. lakini huu ni mfano rafiki Si kweli wewe ni tahira.
 
ile 15 imetoka wap? na kw nini umeeka 15 badala ya 25?
Nilitoa kama mfano Rafiki, nilikadiria kuwa yawezekana matendo yako hayaendani na umri wako wa miaka 25. Kwa kifupi rafiki IQ is a ratio of the mental age to the physical age multiplied by 100. The mental age was calculated on the basis of the average results in test in the respective age category .
 
chronological age ntaijuaje?
Chronological age utajua kwa njia ya existing skills, knowledge and experience to solve problems by accessing information from long term memory , other hand relies on the ability to understand relationship between various concepts to solve the problem.
 
Back
Top Bottom