Teh huu sasa uchokozi.Namuona msukuma kakanyaga mabulungutu tu ya kutosha.....
Ova
Hahaha anaona nusu tu na mengi hayajuiMwenye pesa nyingi anaona mbali hadi anapitiliza.
Umenifilisi kwa hoja.1. Hana elimu lakini ni tajiri wa kutupwa
2. Ana elimu kubwa na pesa kiasi
3. Ana elimu hana pesa
4. Hana elimu wala pesa
Mwenye pesa nyingi anaona mbali hadi anapitiliza.
na jinsi gani wanavyo yaona maisha kwa utofauti kuna mwingine anayaona ni kitu kidogo sana mwingine ni kawaida na mwingine anayaona ni magumu kufika sehemu fulani wakati yule ambae hana kitu hajui hata nini kinachoendela1. Hana elimu lakini ni tajiri wa kutupwa
2. Ana elimu kubwa na pesa kiasi
3. Ana elimu hana pesa
4. Hana elimu wala pesa
Huyo mwenye pesa angewatumia hao wengine kuvunja hicho kisehemu kilichomziba mambo yangekuwa sawa, pesa inaweza kununua hao wote, huyu mwenye pesa ndio mjanja zaidi , now day pexa ndio kila kitu.Mwenye pesa nyingi haoni kabisa mbele ndiyo maana amezibwa na mti na ukuta, asiye na elimu pia haoni kabisa ndiyo maana amezibwa na ukuta



ni majanga 