Hiyo picha wanayoitizama ndio kielelezo cha jinsi wanavyoishi maisha yao kwa utofauti wao,
1~Ana pesa nyingi ila hana elimu,amekua juu zaidi ya maisha ya kawaida wala hayaoni maisha vizuri (yupo juu zaidi kiasi ya hiyo picha anayoitizama) Coz hana elimu!
2~Ana elimu lakini hana pesa,maisha anayoishi ni ya chini kiasi (rejea jinsi alivyo chini kuitizama hiyo picha ambayo ndio kielelezo cha LIFE)
3~Ana elimu na ana pesa,yupo vizuri zaidi kimaisha kuliko hao wengine (hata ukiwa na pesa nyingi elimu ni kitu muhimu sana)huyu yupo balanced kielimu na kiuchumi,
4~Hana elimu wala hana pesa,maisha kwake ni ya dhiki wala hayaoni "maisha" (rejea jinsi anavyoiangalia picha ya mbele yake)picha iko juu yeye chini,
NB;
Namba 1 mpaka 4 ni jinsi hao watu walivyosimama,namba zinaanzia mtu aliyesimama kuanzia kushoto kwenda kulia.