Mjulishe ajueVAT ni value added tax (consumption tax) mlipaji ni mwananchi ..wewe, mimi na yeye
Hongera yako maana inaonekana wewe makato hay hayakuhusu.Waliotia aibu zaidi ni ukawa ambao wametumwa na wananchi wao kwa maagizo ya Lowasa wanatoka nje na kuwaacha wananchi bila ya uwakilishi
Ningeiona busara yenu kama mngetoka nje kugomea hiyo VAT au sintofahamu zinazofanana na hizo ...lakini kusema mmemsusia Naibu Spika wala haina mantiki....ni ubinafsi tu unawatafuna.Wewe FYATU ------Wabunge wa upinzani walifukuzwa bungeni na Mama Yenu Naibu Speaker......Wenye macho na masikio wanajua...Mbunge wa upinzani akiongea, anaambia kaa chini......Walienda bungeni kuwa Mabubu?
Mama Yenu alitumwa akaminye demokrasia ili nyie viola za muongezewe kodi bila kujitambua......labda wewe unapata ugali wa shikamoo
Hebu kama una akili njema ambazo hazijaathiliwa na gambaz toa mbadala wa nini wangefanya Ukawa kuendelea kukaa bungeni kwa mbinyo ccm waliowapa?. Ama mngeanza kulaumu kuwa haya yote yalipita UKAWA wakiwa bungeni ili kuhalalisha uozo wa chama cha magambaz.Waliotia aibu zaidi ni ukawa ambao wametumwa na wananchi wao kwa maagizo ya Lowasa wanatoka nje na kuwaacha wananchi bila ya uwakilishi
Mkuu huoni yakiboronga tunaisoma namba?, aisee .Mie mwenzenu hawa jamaa zetu kila wakiboronga basi siku hiyo nyumbani watoto hula pilau na mapochopocho kibao
Ingelikuwa katika watu waliostaarabika nadhani TRA wangejitolea kufanya promo na kulipia gharama za kipindi wiki moja kabla ili kipate ufanisi wa juu kabisa. Maana ilikuwa ni 'golden chance' kwao kuweza kuelezea kile ambacho 'hatuelewi' lakini kitendo cha TRA nzima kuingia mitini huku kipindi kinafanyika Dar es Salaam yalipo makao makuu yao na mita kama 50 tu kutoka kwenye taasisi yao (ITA - Chuo cha kodi) ni wazi hapa hatuna uongozi ya kusimamia ukusanyaji kodi.Wachambuzi wamehitimisha kuwa kwa TRA kukimbia vipindi kama hivi, ambavyo vingetumika kutoa ufafanuzi, inaleta tafsiri mbaya sana kwa wananchi kwamba kuna uwezekano wa TRA imefanya makosa kwenye maamuzi yao. Wamesisitiza rais asikie kilio hiki na TRA wasiogope kutumbuliwa wamuone na rais ili kupata utatuzi wa jambo hili
mkuu pole,mimi nimeisha angushwa mara kibao toka wale vijana elfu saba wa udomNimesikiliza kwa makini kipindi na licha ya kuwa mshabiki wa serikali ya awamu ya tano, lazima nikiri kuwa TRA katika hili wameniangusha.
Ningeiona busara yenu kama mngetoka nje kugomea hiyo VAT au sintofahamu zinazofanana na hizo ...lakini kusema mmemsusia Naibu Spika wala haina mantiki....ni ubinafsi tu unawatafuna.
hivi kwani wabunge wa upinzani,hawakuchaguliwa kipindi hiki?au wanakazi zao za nje muhimu zaidi..najaribu kuwaza kwa sautiHapa ndo umuhimu wa wabunge wa upinzani unaanza kuonekana.
mkubwa,hivi mfumo ni nin?hizi hoja zinazo anza na mfumo huwa zinakanganya sanaShida kubwa sana ya nchi yetu ni mfumo. Haya tunayoyaona yanajadiliwa na kulumbaniwa yalipaswa kujadiliwa na kulumbaniwa BUNGENI na Wabunge na sisi kuletewa final product.
Kwa kuwa Bunge letu sasa limekuwa jumuiya ya CCM, kule bungeni mijadala imekoma badala yake watu wazima wanafunga safari kwenda kuwaombea wananchi wao MINARA YA KUMBUKUMBU ZA PUSH UP huku masuala ya msingi yakikosa mtu wa kuyajadili na yakaishia kuamuliwa kwa NDIOOOOOOOO.
Kodi ni suala la kisheria na sio mahaba. Uchumi wa nchi unaweza kuathiriwa vibaya au vizuri na maamuzi yeyote yale yanayohusu kodi na utekelezaji wake. VAT sio neno geni, tunalifahamu na limetung'ata kwa muda...kuna nini leo hii VAT ianze kuchagizwa kwa kuombewa tafsiri mpya kunusu anguko la maamuzi yaliyofanywa na watunga sera wa upande uliopewa dhamana?
Yaani Bunge sasa ni taasisi ya 'ndio mzee' na hoja ni kusifiasifia kila kitokacho kwa anayepaswa kusimamiwa badala ya kusimamia. Hivi, nyie wabunge wa CCM mnajisikiaje tunapoanza kufanya kazi yenu? Nawasema nyie kwa sababu, ni nyie ndio mliokabidhi 'kiti' kwa serikali, sasa serikali inaongoza bunge na hamna wa kuikosoa kiasi ukosoaji unakuja kufanywa na wananchi baada ya sera kupita.
Nafikiri sasa ndio Watanzania waone nchi hii bila upinzani inafananaje. Haya mambo bwana yalipaswa kujadiliwa bungeni. Hakuna chujio kule sasa tumeletewa juice ya pilipili tuinywe kwa mahaba
hivi yule sasa hivi ni naibu spika au spika kabisa...maake sielewi,i see her everywhere when the parliment is...Kuna mtu amepata kusikia kauli ya Naibu Spika juu ya lawama hizi?hasa ukizingatiwa aliwatibua wabunge TIMAMU
Aibu ni kwa kiti,wala sio wabunge,kwan hukuona walivokuwa wakivutwa mashati kuingia ndani?Mjadala huu umewapa aibu ya mwaka Wabunge wa CCM waliopitisha sheria hii pasipo kujadili kwa kina na kutafakari wao walipiga makofi tu na kutamka naunga mkono 100%,
Sio unaanza,ulisha onekana tangu mwanzoHapa ndo umuhimu wa wabunge wa upinzani unaanza kuonekana.
Tatizo hujielewi,mvivu kusoma post za nyuma.Umuhimu gani wasaliti wakubwa wa Wanainchi hao....kutoka kwao kumesaidia nini sasa na mkanganyiko umeshatokea?