Kipima Joto ITV,VAT kwenye miamala:TRA watoa udhuru

haya mambo yamekuwa ya maajabu. yaani unaangalia tv unaona mtaalamu anachokiongea sio anachokiamini kwasababu yakuwa na hofu. wanabaki kusifia sifia tu.
Ni mmoja tu kaongea ukweli lakini wengine wamekuwa wanafiki watupu.
 
Kwa mtu aliyefuatilia kwa makini kipindi hiki cha leo na kuzisikiliza kwa makini hoja za Ngatunga basi mtakubaliana na mimi Tanzania kama Taifa tuna tatizo kubwa sana ambapo kuna watu wameamuwa kumdanganya Rais mchana kweupe.

Kuhusu wabunge wa ccm mimi sina tatizo nao sijawahai kuwapigia kura hata siku moja, mimi nawapa pole wale ambao ndio washiriki wa kuwapa kura hawa mashetani, hizi kodi hazibagui itikadi, we will share this pain.
 
Kwa mtu aliyefuatilia kwa makini kipindi hiki cha leo na kuzisikiliza kwa makini hoja za Ngatunga basi mtakubaliana na mimi Tanzania kama Taifa tuna tatizo kubwa sana ambapo kuna watu wameamuwa kumdanganya Rais mchana kweupe.

Kuhusu wabunge wa ccm mimi sina tatizo nao sijawahai kuwapigia kura hata siku moja, mimi nawapa pole wale ambao ndio washiriki wa kuwapa kura hawa mashetani, hizi kodi hazibagui itikadi, we will share this pain.
imebaki akibishana na Mtangazaji. Kabisa jamaa kang'ang'ana kwamba VAT inaweza kulipwa na benk,kakataa sheria na principles zinazungumza nini kuhusu VAT. Mwanzo nilijua ni afisa wa TRA!!!halafu mwisho naye analaumu wabunge
 
Hata wakibaki bungeni hawapo huru na hawapewi nafasi ya kuchangia lolote wabaki kufanya nini bungeni? Lowasa anahusika nini na wabunge? Umekariri akili za madalali wa siasa wa CCM kila kitu unajua ni lowasa, Tambua kuwa bungeni sasa kuna udikteta mkubwa kuanzia Naibu spika mpaka kamati ya kidikteta ya mkuchika , wabunge wa ukawa hawapewi nafasi ya kuchangia chochote.
Wewe ni mbulula na hujui kwa nini wanatoka na Lowasa anahusikaje ni kama samaki anayefuata maji pole.

Unatakiwa unapokuwa unawakilisha wananchi unakomaa kama unatkili husikilizwi basi huna sifa ya kuwa mwakilishi wa wananchi.
 
aibu aibu aibu ila wao hawaon aibu kwa sababu ya kulewa madaraka, ujuha wa viongoz wa afrika unaanzaga taratibu na badae ukikomaa tutajuta sion nuru mbele naona kiza totoro tuu n
 
KIRUSI SIASA KULIPOINGIZWA KWA SPEED YA HATARI KWENYE PROFFESSIONALISM.
SASA WAKULIMA TUNAONEKANA KUWA NA UWEZO MKUBWA KULIKO WASOMI TEGEMEWA.

Mkuu siasa ni maisha yetu ya kila siku tatizo nnaloliona hapa tumekosa 'siasa safi' inayoendana kabisa na demokrasia ya kweli.Kama hatutokubali kukosoana kwa haki kabisa bila ya uoga hakika tutaendelea kurudi nyuma kama taifa.

Mwalimu Nyerere Baba wa Taifa hili alisisitizia sana juu ya kuwa na siasa safi kama kichocheo kimojawapo cha kuiendeleza Nchi..Lakini haya ya kuwahukumu Wapinzani na kuwanyima zile haki zao kama wawakilishi wa Wananchi hatuwezi kuwa wamoja na matokeo yake sasa ni haya.Kurudia kujadili kilichopaswa kujadiliwa Bungeni .

Heshima kwa @ Jenerali Ulimwengu ,hakika kauli yake inaendelea kudhihirika kwa uwazi zaidi...
 
Waliotia aibu zaidi ni ukawa ambao wametumwa na wananchi wao kwa maagizo ya Lowasa wanatoka nje na kuwaacha wananchi bila ya uwakilishi
Ni wewe na wenzako kina usitulie akiwemo mkuuchiiikaa ndo mmetia aibu ya mwaka maana mkulu aliwatuma mfanye kila liwezekanalo kuhakikisha wabunge wenye macho ya kuchunguza hata ufyuzi wa white house wanaondolewa, mbunge anaomba taarifa tulia na mkuchika wanamuundia kamati ya kumfukuza, ndo ujue bila upinzani mwanachi wa kawaida atahujumiwa mno.
 
Ni wewe na wenzako kina usitulie akiwemo mkuuchiiikaa ndo mmetia aibu ya mwaka maana mkulu aliwatuma mfanye kila liwezekanalo kuhakikisha wabunge wenye macho ya kuchunguza hata ufyuzi wa white house wanaondolewa, mbunge anaomba taarifa tulia na mkuchika wanamuundia kamati ya kumfukuza, ndo ujue bila upinzani mwanachi wa kawaida atahujumiwa mno.
Walitakiwa wawe makini kila point
 
Nimesikiliza kwa makini kipindi na licha ya kuwa mshabiki wa serikali ya awamu ya tano, lazima nikiri kuwa TRA katika hili wameniangusha.
Haya ndiyo matatizo tuliyonayo viongozi sasa wanakuwa wanafiki na wanathubutu kusema uongo ili kumfurahisha mtu mmoja. alphayo k idata ndiyo alitakiwa kuja kwenye kipindi tumuulize maswali kutokana na maneno ya ovyo na upotoshaji alitamka kuhusu VAT. Na kwa imani yangu akithubutu kwenda benki hata leo atakatwa VAT na hatakuwa na uwezo wa kuhoji. Tuache usanii jamani tukiendelea hivi kufurahisha mamlaka za uteuzi hatuwezi kupata maendeleo
 
Wewe ni mbulula na hujui kwa nini wanatoka na Lowasa anahusikaje ni kama samaki anayefuata maji pole.

Unatakiwa unapokuwa unawakilisha wananchi unakomaa kama unatkili husikilizwi basi huna sifa ya kuwa mwakilishi wa wananchi.
VAT unalipa wewe au Bank
 
Haya ni madhara ya kuwafukuza na kuwafungia wabunge wa UKAWA.
Haya ni madhara ya kumnyima Zito Kabwe kufanya mdahalo ambao ungesaidia kutoa ufafanuzi wa bajeti ya mwaka huu.

Haya ni madhara ya kuchagua wabunge wa ccm wasiojua A wala B. Kazi yao kla siku ilikua ni kuhoji mambo ya UKAWA badala ya kujadili bajeti iliokua mezani.

Ni aibu kwa serikali na baraza la mawaziri kuandaa bajeti na sera ambazo hazitekelezeki na ni kinyume cha sera ya fedha.
CCM na Serikali mmefeli.
 
TRA ni weupe sana Kichwani.....Elimu Uchwara na Ajira za kujuana

Elimu kwa mlipa kodi hawatoi.....wanatumia nguvu kubwa...akili kidogo

Mfano, Mfanyabiashara mueleweshe tu, ukipata faida ya 1000, toa shs 200 ya serikali....simple....Mbona Serikali itapata pesa kuliko USA...

TaTizo elimu ya mlipa kodi haipo, hata TRA wengine kichwani weupe sana...Ajira za kindugu ndugu....

Mfano hai, TRA waliitwa na Makampuni ya utalii, waje kuelezea namna ya kulipa VAT, mbona waliishia kujing'ata ng'ata tu, wanasema ngoja wakajifunze...

Lazima waishie mitini kwenye ishue kama hizi

Serikali iajiri watanzania wenye Pass park nzuri, watu wenye brain....

Serikali iahirishe VAT kwenye Mabenki, Miamala ya PESA na Utalii, TRA wakasome kwanza
 
Haya ndiyo matatizo tuliyonayo viongozi sasa wanakuwa wanafiki na wanathubutu kusema uongo ili kumfurahisha mtu mmoja. alphayo k idata ndiyo alitakiwa kuja kwenye kipindi tumuulize maswali kutokana na maneno ya ovyo na upotoshaji alitamka kuhusu VAT. Na kwa imani yangu akithubutu kwenda benki hata leo atakatwa VAT na hatakuwa na uwezo wa kuhoji. Tuache usanii jamani tukiendelea hivi kufurahisha mamlaka za uteuzi hatuwezi kupata maendeleo

Jana nilikuwa nafatilia kwa makini sana huo mjadala na pia nilibahatika kumsikia CAG aliyekuwa anahojiwa na Paskali Mayalla.

Kwa upande wa Marumbano ya hoja inaonekana kwamba wachangiaji wengi mwanzoni walikuwa hawaelewi dhana ya bunge la vyama vingi na kwamba vyama vya upinzani ni watu wa kupinga hoja za kimaendeleo na kufanya fujo ili Chama Tawala wasipate muda wa kufikiri na kuamua vizuri kwa maslahi ya umma.

Ila safari hii kutoka kwao nao kunaleta tafsiri nyingine kabisa. Wachangiaji wengi wa Marumbano ya hoja wameonyesha kwamba upinzani ni sehemu muhimu ya Bunge na kutoka kwao kumewafanya watawala washindwe kubaini vitu muhimu sana katika Bajeti likiwamo hili la VAT katika miamala ya kibenki, utumaji pesa kwa njia ya simu na lingine ameliongelea CAG.

Huyu bwana ametanabaisha kwamba amepangiwa Bajeti ndogo sana ambayo inatosheleza ukaguzi wa Taasisi za Umma zilizopo Dar peke yake. Hii inamaanisha Taasisi za Umma zilizoko Nje ya Dar kwa mwaka huu wa fedha hazitakaguliwa na CAG!
 
Umuhimu gani wasaliti wakubwa wa Wanainchi hao....kutoka kwao kumesaidia nini sasa na mkanganyiko umeshatokea?

Wewe FYATU ------Wabunge wa upinzani walifukuzwa bungeni na Mama Yenu Naibu Speaker......Wenye macho na masikio wanajua...Mbunge wa upinzani akiongea, anaambia kaa chini......Walienda bungeni kuwa Mabubu?

Mama Yenu alitumwa akaminye demokrasia ili nyie viola za muongezewe kodi bila kujitambua......labda wewe unapata ugali wa shikamoo
 
Wewe FYATU, jana ulimsikia CAG?

Akili yako imesoma mpaka form ngapi...upeo wako
 
Back
Top Bottom