Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
Kumfananisha Sheikh Salum na Ponda ni kumkosea adabu. Sheikh Salum ni kiongozi mahiri nadhani watu wengi tunakubaliana katika hili, na hata wasiokuwa waislamu bado wanamkubali sana.
Well said!
Kumfananisha Sheikh Salum na Ponda ni kumkosea adabu. Sheikh Salum ni kiongozi mahiri nadhani watu wengi tunakubaliana katika hili, na hata wasiokuwa waislamu bado wanamkubali sana.
Kumfananisha Sheikh Salum na Ponda ni kumkosea adabu. Sheikh Salum ni kiongozi mahiri nadhani watu wengi tunakubaliana katika hili, na hata wasiokuwa waislamu bado wanamkubali sana.
Huyu mzee Darus Abeid anakumbusha kisa cha mwalimu Nyerere kukemea udini mwaka 1958 pale alipomkemea mjumbe wa kamati kuu ya TANU sheikh Takadir hadi wananchi wakasusia duka lake lililokuwa kariakoo.
Nimekumbuka masimulizi ya sheikh Mohamed Said
Eeh tata Maranya, huyu sheikh Musa Salum ni mmoja ya viongozi wa dini nnaowaheshim sana, he ia very rational. Huwezi ukamfananisha na wahuni kama anayejiita Ponda!
Mtoto mdogo unamfundisha eti dini hii ni makafiri!
Huyo mtoto atakuwaje?
Jibu mnalo!
Mwita Maranya,
Nakushauri jikite tu kwenye mjadala ukianza kuleta mambo ya kuwafananisha Masheikh yupi bora na yupi sio bora utaleta mjadala mwingine.
Hakuna kitu hapo Bakwata Type...
shekhe anafunguka, anasema kuna chembe chembe za udini kati yatu, anasema udini ni hari ya mtu kumnyima mtu haki yake kisa ni dini tofauti na wewe, lakini anasema kama mtu anaililia dini yake au anaipenda dini yake huo si udini, anasema mtu apewe kazi kwa sababu ya uwezo wake wala si kwasababu ya dini yake
naona maoni ya wadau wengi katika mitandao ya facebook na twitter kwa kadri masako alivyosoma, wanamponda mwalimu, kuwa ndiye alikuwa muasisi wa udini na ukabila anzia jeshini mapaka mashuleni.. duuh kazi ipo kweli haya maswala yamefika mbali sana, na kwa maoni yangu naona huu ufa unazidi siku hadi siku.