Una haraka kupost,ati sheikh mmoja,HATA Humjui Sheigh salum,shekh mkuu wa dar? Huna idea na current affair hata?
Una haraka kupost,ati sheikh mmoja,HATA Humjui Sheigh salum,shekh mkuu wa dar? Huna idea na current affair hata?
Thanks commited
Sheikh mkuu wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum anatoa ufafanuzi wa udini. Kwamba udini ni kumnyima mtu fursa kwasababu ya utofauti wa dini/imani yake na yako pamoja na kwamba ana uwezo na vigezo.
Anasema ukabila ni kidogo sana lakini udini bado unashamiri.
Nini tofauti ya Sheikh,Ustadhi,Ulamaa,Mufti?
Eeh tata Maranya, huyu sheikh Musa Salum ni mmoja ya viongozi wa dini nnaowaheshim sana, he ia very rational. Huwezi ukamfananisha na wahuni kama anayejiita Ponda!
Mufti yuko fiti kwenye Elimu Ahera than elimu dunia.
Namkubali sana Dr Lwaitama ni (Gwanji).