Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Kikwete na mwinyi bora nani kwa udini?
Hivi udini ni nini.
Kikwete na mwinyi bora nani kwa udini?
Mchonga ndio mdini namba moja, ndio maana kuna ubalozi wa papa tz. Xmas ofisi zote na taasisi zinapambwa, vipi idd?
udini ni hali ya mtu kunyimwa haki yake kwa sababu ya tofauti ya kiimani na huyo mtoaji haki, haki ya kuheshimiwa,kulindwa,kuthaminiwa na nyingine kama hizo!Hivi udini ni nini.
ole wao waitegemeao serikali hii dhaifu na yenye udini waziwazi!tunakokwenda katika nchi hii ni kubaya sana.
mtangamano wa kijamii kwa sasa haupo kabisa.makundi ya kidini yanazidi kuitafuna nchi kwa kasi ya ajabu.
1]}tumeshuhudia kule zanzibar makanisa yakichomwa kwa kuupinga muungano,japo mpaka sasa sijaona uhusiano uliopa kati ya makanisa na muungano...tunashuhudia mara nyingi wakristo wakitukanwa na kukashfiwa saana kuhusu dini yao lakini busara mara zote inatawala na kwa kweli sijawahi kusikia kuwa wakristo wameleta vurugu baada ya kukashfiwa..
2}kuna ile ishu ya kukamatwa kwa waislamu waliosusia sensa,wakaamini kuwa ile ni uonevu wa dini yao kwa hiyo wakaamua kuandamana na ndugu zao kufanikiwa kutolewa.
3}kuna suala la kutaka mama ndalichako aondolewa baraza la mitihani eti kwa kisingizio kwamba waislamu wamefeli somo la dini yao.
4}suala la hivi karibuni la mtoto kukojolea quran tukufu limenishtua kidogo hasa nikizingatia kuwa suala hili tena lililofanywa na mtoto likapelekwa kwenye ishu ya udini na waislamu kuanza kuchoma makanisa huko mbagala,
5}Mara kadhaa nimeshuhudia waislamu wakiitukana dini ya wenzao{ukristo},lakini wakristo wamekaa kimya..
lakini katika yote nashukuru sana wakristo wameonesha ukomavu wa hali ya juu pale masuala ya kuwaingilia kidini wamekuwa watulivu na wenye busara kubwa sana....
HATARI INAKUJA PALE MAMBO HAYA YAKIENDELEA KUFANYWA HIVI NA WATU HALAFU SERIKALI IKAKAA KIMYA KAMA HAIYAONI HAYA....itafika mahali watu watatshindwa kuvumiliana na ndio mwanzo wa vita za kidini katika nchi yetu..
ni mtazamo wangu kwa future ya taifa langu
udini ni hali ya mtu kunyimwa haki yake kwa sababu ya tofauti ya kiimani na huyo mtoaji haki, haki ya kuheshimiwa,kulindwa,kuthaminiwa na nyingine kama hizo!
hivi hujui kwamba ponda anachochea waumini wa dini yake, kupuuza na kutokuheshimu imani za watu wengine? Anasababisha watu wengine wasipate haki ya kuheshimiwa na kulindwa kwa mali zao, kwa uchochezi wake! Ma self ni muslim, ponda ni mdini na mchochezi pia! Ukweli lazima usemwe!Kama hiyo ndiyo tafsiri sahihi kwa nini Sheikh Ponda naye anaitwa mdini inakuaje mkuu nielimishe.
Mchonga ndio mdini namba moja, ndio maana kuna ubalozi wa papa tz. Xmas ofisi zote na taasisi zinapambwa, vipi idd?
mlizoea mukikooa tu waislamu wanavamiwa misikitini na kupigwa na kudhalilishwa akina mama(mwembechai). ndo mujue alie ukuza udini ni nani! Tafakari nchi yetu sote kwa nini double standard,mara mupewe majibu NECTA munajiita wasomi?
Mchonga ndio mdini namba moja, ndio maana kuna ubalozi wa papa tz. Xmas ofisi zote na taasisi zinapambwa, vipi idd?
Somo. Tanzania kusiwe tena na rais muislamu milele.
kiwango cha uongozi kwa wafuasi wa imani hii isiyo na staha ni uwenyekiti wa kitongoji tu.
Alikuwa anasema hiki, anafanya kile! Nyerere ndiye aliyepandikiza mbegu ya udini! Kundi moja la dini kujiona bora kuliko lingine!