ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Wakati wote napofuatilia swali la kipima Joto ITV naona kama waandaaji wa hawana upeo. Kwa mfano leo wakati Tanesco wamekanusha habari kuwa nchi itaingia gizani kutokana na giza zito, ITV ambayo imetoa tangazo hilo la Tanesco wanauliza tena eti "viongozi wanaohusika kuliingiza Taifa gizani waadhibiwe kama wahaini?"