Heheheeee umbea tu RemmyMmhhh.......mimi napita tu, jana nilikuwa na PJ mambo aliyonambia kuhusu chitchat sina hamu nayo, ndio maana nilikuwa najishangaa nimepungukiwa na upako. Nilifikiri ni flirting kumbe kweli.
Heheheheeee sawa mamahihihihi, sio limbwata, ni malove davi tu.....
mume wangu Asprin jogoo lake linapanda, kuanzia mtungi, ndoo, mapipa hadi simtanks
we kweli hamnazo! kha!
Aisee na kuninywea bia zangu jana kumbe una midume mingi namna hii??my dear Erickb52, my dearest Bishanga my hazbendi Asprin, my baby loya klorokwini, my hubby buchanan, asali wangu TANMO, my hanni Teamo, my lavu platozoom, Judgement wangu, na wengineo ambao nimewahifadhi kwa sababu maalum........
every woman should have four pets in her life,
- a mink in her closet
- a jaguar in her garage
- a tiger in her bed and;
- a Jackass Penguin who pays for everything.............
baada ya kusema hayo, napenda kuwajulisha kuwa nawapenda sana..... mkimuona mzee wa mia. mwambieni chakula hakishuki kwa kumwaza yeye.....
Aisee na kuninywea bia zangu jana kumbe una midume mingi namna hii??
Acha nisepe na mahari yangu aisee...
Heheheheee BADILI TABIA si tunayakubali yotemy dear Erickb52, my dearest Bishanga my hazbendi Asprin, my baby loya klorokwini, my hubby buchanan, asali wangu TANMO, my hanni Teamo, my lavu platozoom, Judgement wangu, na wengineo ambao nimewahifadhi kwa sababu maalum........
every woman should have four pets in her life,
- a mink in her closet
- a jaguar in her garage
- a tiger in her bed and;
- a Jackass Penguin who pays for everything.............
baada ya kusema hayo, napenda kuwajulisha kuwa nawapenda sana..... mkimuona mzee wa mia. mwambieni chakula hakishuki kwa kumwaza yeye.....
kwa sababu nakupenda toka kifuniko cha moyo wangu, nitakulipia tanzanite........ Loh nimefurahijeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mmhhh.......mimi napita tu, jana nilikuwa na PJ mambo aliyonambia kuhusu chitchat sina hamu nayo, ndio maana nilikuwa najishangaa nimepungukiwa na upako. Nilifikiri ni flirting kumbe kweli.