Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,513
- 113,642
Kumbe Rais Magufuli ni msikivu sana.
P
P
....Musiba anatumika ili Kapilimba ang'olewe
hii ni kwa sababu Kapilimba ni team KikweteBRAVO! 👊🏽👊🏽👊🏽👍🏽
nipo nawacheki tu !....
....Mkuu upo
....
....nipo nawacheki tu !
ilikuwa itokee kipindi kirefu sana ! bali iliachwa kwanza....
.....hahahaha MKUU ...Salute Mingi sana
Kumbe Rais Magufuli ni msikivu sana.
P
Tusipoteze muda kujadili mambo ambayo ni implied badala ya factual events. Wastaafu wanaojiita wazee wa kuheshimika wanasema Musiba, Kipilimba kuhamishwa unasema Musiba. Baadaye utasema hata Diwani kuhamishwa ni Musiba, Nape kuomba radhi ni Musiba. Let’s not waste good reasoning. Ulivyoanza kuandika ni kama ulitaka kumjadili Kipilimba, lakini uliishia kuandika Musiba. Musiba tumeshamjadili sana hapa JF. Ubora wake, umuhimu wake, vyanzo vyake vya taarifa, n.k.Leo tena mimi na wewe mzee wangu, usije kudhani nakuchukia baada ya wiki iliyopita kukuandikia makala nyingine. La hasha, ila nakuonea huruma sana. Ni Kama hujui umuhimu na uzito wa kazi ulionao.
Musiba si mjinga wala kichaa kama watu wanavyodhania, bali kuna mtu mwenye nguvu kubwa kuliko wote Tanzania ndo yupo nyuma ya Musiba.
Maneno anayoongea Musiba, hayaongei kwa bahati mbaya au kwa kuhisi, bali ni mkakati maalumu mzito ili kufanikisha jambo maalumu zito.
Bahati mbaya zaidi ofisi yako inadhalilishwa na Musiba, huyu ni mtu Hatari sana ambaye idara yako ilitakiwa kumnyamazisha kimya hata kwa njia zisizojulikana Kwa ajili ya usalama wa nchi.
Musiba amekuwa msiba Kwa watu, hivi hujui athari ya kauli zake na tuhuma zake Kwa watu zinaweza kuchafua usalama wa nchi?
Huyu mtu amefikia hatua ya kuwagusa hadi marais wastaafu. Unadhani ni hali ya kawaida hiyo?
Wewe Kama Mkurugenzi mkuu wa TISS, unajua majukumu yako, hakuna wa kukufundisha kazi, ila hali ilivyo inaonyesha kabisa unafundishwa kazi.
Hivi unajua kuwa vita vya ghuba vilisababishwa na mtu kama Musiba, mkimbizi wa Iraq aliyekuwa akiishi Germany?
Musiba kaumiza wengi, na anaendelea kuwaumiza, na hakuna wa kumgusa huyu mtu, yupo juu ya sheria, a strong man is behind him.
Kwanini TISS imekosa uadilifu mikononi mwako?
Nakushauri u resign ili ulinde heshima yako, vinginevyo utaendelea kuvuliwa nguo.
Nilitarajia ungeiendesha Idara kwa muundo wa CIA, MI6 au Mossad, haya mashirika yapo Kwa maslahi ya mataifa yao na watu wao, na hayatumiki na wanasiasa uchwara.
Watu wanahangaika kuipasua Tanzania, upo umekaa unawatizama tu.
Kwa hiyo unasubiri kushuhudia Tanzania ikipasuliwa na wakati uwezo wa kuzuia unao? Ni kituko cha karne mtu mmoja tu anayejiita mwanaharakati anafanya lolote atakalo na hakuna wa kumgusa.
Yetu macho, siku mkianza kuvuna mnachopanda msikimbie.
Wewe wa kuwa msemaji wa Kipilimba , basi Kipilimba hana kazi.
TISS could be Tanzanian intelligence of sukuma land or what does this implies? Anaejuwa maana ya TISS