Kila sehemu yuko naye. Sasa unajiuliza anakuwa briefd saa ngapi? Anashiriki kujadili na kutoa maamuzi saa ngapi.huyo bosi yuko kwapani kwa mheshimiwa kwasasa wako chato, kwa kifupi inaonekana mheshimiwa hamwamini kumwacha ofisini.
Kila sehemu yuko naye. Sasa unajiuliza anakuwa briefd saa ngapi? Anashiriki kujadili na kutoa maamuzi saa ngapi.huyo bosi yuko kwapani kwa mheshimiwa kwasasa wako chato, kwa kifupi inaonekana mheshimiwa hamwamini kumwacha ofisini.
Wewe wa.kumfundusha Kipilimba kazi ?. dunia imekwisha![]()
evarist chahali hujaandika muda mkuu.nilikuwa natamani sana kusikia haya toka kwako. ahsanteMajuzi Musiba kamtaja huyo Kipilimba "kiaina" kuwa "mkuu wa idara/taasisi nyeti anayempa Membe siri za serikali" (of course it is true lakini Musiba si mtu stahili kusema haya)
I knew it would one day come to haunt them. Walimfuga chatu, wakamlisha sumu ya kutukana #WatuHatari, leo chatu huyo huyo kawageukia wamiliki wake.
View attachment 1152921
Kipilimba is there to stay, mtabwata na kuhara sana nyie bata bukini!!. Mwenye shida na Musiba, the court doors are open for you!. Kipilimba Kipilimba Kipilimba kila saaa, wehu nini nyie!? You have no chance awamu hii kubalianeni tu na hali halisi!
Ni kweli kabisa mkuu, 2020 ndo mwaka mbaya kuliko miaka yote ya uchaguzi Tanzania.
Hebu vuta hii picha, Mkapa, na Kikwete wanasimama jukwaani ili kumpigia kampeni mgombea Urais wa Upinzani, je? nini kitatokea? Kwa akili ndogo za jiwe anaweza kuamuru wakamatwe au wapigwe shaba, hapo hapo jeshi litachukua nchi na kusimamisha uchaguzi au jeshi litapasuka vipande,team mabeyo, loyal to Mr Stone na team upinzani loyal to wananchi.
Hakika TB JOSHUA ni mtumishi wa Mungu, baada ya jiwe kuteuliwa kugombea urais, Mungu alimwonyesha TB JOSHUA hatima mbaya kabisa ya Tanzania.
Ndipo alipokuja na ndege yake Tanzania, akiwa hana viatu miguuni kama ishara ya kuiteka ardhi ya Tanzania ili isimwage Damu.
Aliongea maneno Mazito sana juu ya nchi
Ila Kipilimba hawezi funzwa na huyu maamuma katika nyaja ya usalama ,impossible !Kuna ubaya gani akifanya hivyo ilihali anao uelewa unaotoshea? Usiandike kana kwamba Kipilimba alizaliwa akiwa jasusi tayari Bali alifundishwa kazi na kina Membe pia!
Isitoshe, kubali kuwa hakuna binadamu anayejua kila kitu na hata hao maprofesa hujifunza kwa wajinga pia!
Sio kweli uliyoyaandika kiongozi, sio kweli kabisa. Yaani umeandika kitu ambacho ndicho marekani inataka ujue ama raia wajue. Lakini Kuna covert operation nyingi tu za kuondoa watu wabaya, wakiwemo wamarekani na wasio wamarekani bila approval ya vyombo ulivyotaja, hususani Bunge la Marekani. Na Kuna operation zinafanyika bila knowledge ya Rais au Senate.Umesema serikali imzime Musiba kwa njia zisizojulikana kwa usalama wa Taifa halafu unagusia CIA na MI6 kama mifano, don't be ridiculous, ongelea mambo yenu ya third world huku kunakonuka damu za raia chini ya mikono ya dola, sio Marekani,sio UK!
It is against Federal Law, ni kinyume cha sheria, kwa serikali ya Marekani ku assasinate mtu yeyote, raia, foreigner , kiongozi wa nchi nyingine, n.k., unless ametangazwa wazi wazi bungeni au na rais kwamba ni adui mpiganaji, enemy combatant!
Kwa hiyo tafadhali tumia mifano ya kwenu huku Burundi, Tanzania, Uganda, Kenya, Rwanda, Sudan, na kwingine Afrika kuchafu huku kunakovunda damu za wananchi.
Inavyoelekeza, lakini uhalisia ni tofauti sana.Usishangae saiv watu wote wananena lugha mojaMkuu ni wewe kabisa uliyeandika kitu hiki au umeandikiwa na batu bakongo?.
huyo bosi yuko kwapani kwa mheshimiwa kwasasa wako chato, kwa kifupi inaonekana mheshimiwa hamwamini kumwacha ofisini.
Exhibition of your behaviour of using your excretion organ. OK satanic crapOk gay
Are you too ?Exhibition of your behaviour of using your excretion organ. OK satanic crap
Ukitumia akili huwa unaandika vizuri sana ila ukitumia masaburiMusiba kikubwa anachofanya ni kuwabomoa wote wanaoonekana kuwa waweza kuwa wagombea uraisi kwa tiketi ya CCM ndio lengo lake kuu. Kuwabomoa wao na wote anaohisi kuwa ni watu wao wa karibu na kubomoa anayohisi Ni mitandao yao. Hao wanaoonekana kuwa waweza kuwa wagombea uraisi ndio lengo na mkakati wake. Kwanini anawalenga hao, sijui ila sidhani Kama ni sahihi.
Kama Kuna mtu kamshauri Musiba atumie strategy hiyo kakosea Sana Tena Sana na end result mwisho wa siku itakuwa Sio nzuri.
Kuna msemo usemao ukiona Kobe kanyamaza kimya ujue anatunga Sheria.
Musiba anatumika ili Kapilimba ang'olewe