Haipaswi kutumia nguvu nyingi kutoka kwa askari kwa watu wasio na silaha. Huwa nikiona namna askari wa kibeberu anavyomtoa shabiki anayevamia uwanja huko ubeberuni najisemea tu kuwa ingekuwa huku kwetu..shabiki huyo si angeenda kulazwa kabisa. Weledi ubaki weledi na siasa zibaki siasa.