mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,126
- 106,633
Unafurahia siyoTupe tafsiri ya hiyo x ray picha we ni Doctor. Au mnatafuta public sympath sababu uchaguzi mmeshindwa.Propaganda za kishamba
Mkono wa kiume huo,sio wa Halima. Tunaomba ma Md mlete ukweli ili jamaa waumbuke.
ah kumbe ni vijifupa vya mkono tu nndio vimevunjika! Mie nilijua ni vya shingo kabisa! Wakome kupeleka siasa kwa wazee wa kazi! Siku nyingine haitakuwa mkono, itakuwa shingo!Kila nikiangalia hii picha ya x-ray najisikia natetemeka. Tazameni jinsi mhe Halima Mdee walivyo mvunja mkono hapo kwenye picha chini.
Huu ni zaidi ya ukatili ulio putiliza jamani watanzania wenzetu.
View attachment 1388478
In God we Trust
Kila nikiangalia hii picha ya x-ray najisikia natetemeka. Tazameni jinsi mhe Halima Mdee walivyo mvunja mkono hapo kwenye picha chini.
Huu ni zaidi ya ukatili ulio putiliza jamani watanzania wenzetu.
View attachment 1388478
In God we Trust
Lile lishetani lilaniwe mbinguni na duniani.
Mimi sijui, nashangaa kuniita mimi lumumba.
Utoto kwa gari yangu waliomba lifti sasa kwa akili yako nitamyima mtu kitu bila kuomba jichanganue. Sipo tayari kuwa karibu na polisiKwani walikuomba hiyo lift, walipungukiwa nin kukosa lift yako, utoto huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi ameonyesha alama ya kufurahia ? Ameuliza swali, tena jepesi tu.
Kwani wewe mbwa ni vigumu kujua amevunjika hapo. Mumiani wakubwa nyie mark my words YOU DAYS ARE NUMBEREDTupe tafsiri ya hiyo x ray picha we ni Doctor. Au mnatafuta public sympath sababu uchaguzi mmeshindwa.Propaganda za kishamba
Mama yako bado analika? Wiki tu mimi namjaza.Safi sana
In God we Trust
Ni vizuri kuweka wazi unyama na ubaya huo Watanzania ikibidi wote wajue. Awali sikujua maana ya makaburu weusi waliokuwepo South Africa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukamanda wa midomoni tyu , hamna kitu hapo.Ila hawa jamaa si wanaitana makamanda! Kamanda na ajali kama hizi nadhani sio ishu sana
ah kumbe ni vijifupa vya mkono tu nndio vimevunjika! Mie nilijua ni vya shingo kabisa! Wakome kupeleka siasa kwa wazee wa kazi! Siku nyingine haitakuwa mkono, itakuwa shingo! Hizo siasa za fujo na mihemko hazijawahi kumwacha mtu salama! Asiyefunzwa na mama-e hufunzwa na mabingwa wa magereza! Kihelehele tu eti tukampokee bingwa, eeh mmepata kipigo cha mabingwa wenyewe sio feki na sasa mmetulia!