ningependa kupata majina yao na anuani zao ili nifualilie usalama wao kila mwaka wasije wakadhuriwa kama dr ulimboka.
MwanaHALISI limegundua kabla ya Dk. Ulimboka kutekwa, Rama alianza kufanya mawasiliano naye saa 12: 25 jioni. Mawasiliano hayo yaliendelea 3:29 usiku, saa 4: 52, saa 5: 27, saa 5:40 na mwisho ilikuwa saa 5:52 usiku.
MwanaHALISI limegundua kuwa siku mbili kabla ya Dk. Ulimboka kufanyiwa unyama huo (24 Juni 2012), simu ya Rama iliingizwa salio la Sh. 252,849. Hili ni salio kubwa pekee kuingizwa kwenye simu hiyo tangu mwanzo wa mwaka huu.
Nyaraka zinaonyesha tarehe 4 Mei 2012 simu ya Rama iliwahi kuishiwa salio kabisa hadi kufikia kiwango cha Sh. 1.
Duh!!!! ama kweli kwa data hizi nchi sasa yaweza kuwa na majasusi wa ukweli teh teh teh tehMwanaHALISI limegundua kabla ya Dk. Ulimboka kutekwa, Rama alianza kufanya mawasiliano naye saa 12: 25 jioni. Mawasiliano hayo yaliendelea 3:29 usiku, saa 4: 52, saa 5: 27, saa 5:40 na mwisho ilikuwa saa 5:52 usiku.
MwanaHALISI limegundua kuwa siku mbili kabla ya Dk. Ulimboka kufanyiwa unyama huo (24 Juni 2012), simu ya Rama iliingizwa salio la Sh. 252,849. Hili ni salio kubwa pekee kuingizwa kwenye simu hiyo tangu mwanzo wa mwaka huu.
Nyaraka zinaonyesha tarehe 4 Mei 2012 simu ya Rama iliwahi kuishiwa salio kabisa hadi kufikia kiwango cha Sh. 1.
These guys have no choice but to resort to this work we did as temporary jobs whilst awaiting to join form 6 enzi zetu
Ramadhani Ighondu,
Nickname: Rama
Born: 28.08.1978
Place: Makole Dodoma
Voter Registration Card: 49406879
Mobile Number: 0713 760473
Ramadhani Ighondu,
Nickname: Rama
Born: 28.08.1978
Place: Makole Dodoma
Voter Registration Card: 49406879
Mobile Number: 0713 760473
Na huo ndio udhaifu alioamua kuuexploit Kubenea kwa kuwahadaa hawa kwa vipesa kidogo bila kujua wanahatarisha ajira zao. Wakijua kuwa Kubenea alikuwa anawatumia tu kwa kufanikisha maslahi yake watakosa sababu ya kumdhuru huyu Kubenea?
Aliyemteka Dr. Ulimboka ni RAMADHANI IGHONDU mfanyakazi wa Ikulu
Ok let's say they can...but je huyu bwana Ramadhani Ighondu(sp) pia hawezi kumdhuru Kubenea kwa kumuanika ?,
Huyu jamaa amesingiziwa.haiwezekani mtu atumie jina lake halisi na namba alizosajili kumpigia mtu then amteke.huu ni uzushi mtupu
tiss wameula wa chuya
ZOKA na Kova wanahusika na hili!