Ighondu ni nomaaa!
Hili picha la kihindi mwisho starling anakufa kwenye maua Kama nyuki
mwanahalisi ilitoa ushahidi wa uhakika. nitashangaa kama dci hakuwa nao na kama ndivyo anapaswa kuufatilia.
Kwa hii Serikali ya kipuuzi mlionayo hapo nyumbani, msitarajie haki kupatikana hivi karibuni. Tuombe Mungu
mwanahalisi ilitoa ushahidi wa uhakika. nitashangaa kama dci hakuwa nao na kama ndivyo anapaswa kuufatilia.
Ighondu ni nomaaa!
ningependa kupata majina yao na anuani zao ili nifualilie usalama wao kila mwaka wasije wakadhuriwa kama dr ulimboka.
Kwa jinsi wabongo walivyo hii ya Dr Ulimboka nayo itapita hivi hivi taratiibu, maovu mangapi serikali imefanya lakini its just a matter of time inakuja sinema mpya watu wanasahau ya zamani.
Kupigwa na kuteswa kwa Dr Ulimboka ni ktu kiko live bila chenga nani kahusika na Mwanahalisi walimalizia tu msumari wa mwisho kwenye hii stori, TISS hawako makini coz walitumia no zao za kawaida kwa shughuli kama hii na wameumbuka na its possible ni mipango ya Mungu tu ukatokea uzembe kama huu au hawa jamaa si wasomi wa kutosha na wanaojua kupanga na kutekeleza mambo makubwa kama haya, wanojua ipi ni loose end ya kuwakamatisha kirahiisi once wajanja wakiafatilia.
Ingependeza kama Mwanahalisi lingepelekwa mahakamani ili lishtakiwe kwa uchochezi hapo tungejua kweli serikali haihusiki bt kulifungia tuuu hivi hivi aaaaaaah hio hata mtoto angejua ni funika kombe tu coz habari ilioandikwa ukiisoma its just so real wandugu.
hivi hoyo ulimboka ana faida gani kwa nchii hii . Lets say angekufa nchi ingepata hasara gani? Ok au sasa awe amepona je nchi itapata faida gani?????? Watanzania tuache mambo yasiyo na faida . Mimi naona ni bora wangemuulia mbali tu huyo ulimboka
hivi hoyo ulimboka ana faida gani kwa nchii hii . Lets say angekufa nchi ingepata hasara gani? Ok au sasa awe amepona je nchi itapata faida gani?????? Watanzania tuache mambo yasiyo na faida . Mimi naona ni bora wangemuulia mbali tu huyo ulimboka
Hiyo ndiyo intelejensia ya Kubenea.