BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,102
- 14,024
Nina wasiwasi na fundi anayenirekebishia pikipiki anatumia udhaifu wangu wa kutokuwa na uelewa juu ya changamoto za pikipiki na kutojua bei ya vifaa kunikanda linapokuja ishu ya payments baada ya service.
Kwa wamiliki na wazoefu wa pikipiki which ni best way ya kufanya service kutumia fundi mmoja ama kubadilisha?
Kwa wamiliki na wazoefu wa pikipiki which ni best way ya kufanya service kutumia fundi mmoja ama kubadilisha?