Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Hey Jamii.
Jamani kwa wanaojua mambo ya Website, niliamua kuanzisha site yanngu bila experience yeyote before,nimeleta kwenu kwa wenye weledi zaidi mnisaidie kupitia kwenye site yangu labda kuna kitu unaweza kunipa ushauri ni kitu gani kimekosa au kuzidi kwenye site yangu inaitwa wajasiriamali.com
Ntashukuru kwa muda wako
Jamani kwa wanaojua mambo ya Website, niliamua kuanzisha site yanngu bila experience yeyote before,nimeleta kwenu kwa wenye weledi zaidi mnisaidie kupitia kwenye site yangu labda kuna kitu unaweza kunipa ushauri ni kitu gani kimekosa au kuzidi kwenye site yangu inaitwa wajasiriamali.com
Ntashukuru kwa muda wako