Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
- Thread starter
- #41
Less is more mkuu. Umeweka mambo mengi mpaka mtumiaji anasahau anatafuta nini kwenye hiyo website. Uandishi pia mbovu sana, fonts hazivutii na layout haieleweki. Hii ni kutokana na kufanya Web Development bila kuwa na an end goal in mind. Ukiweza pitia stages za SDLC kuanzia mwanzoni ili ujue nini unataka watumiaji wakipate kutoka kwenye website yako. Ifanye iwe na ushawishi kwa yule atakayeifungua. Naipa 1/10.
Ila mkuu hii ni website ya matangazo tu.
Pia naona kwa mtumiaji wa simu ina kuwa na muoneka mmbaya ila kweny computer naridhika nainavyoonekani