Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,388
SureKujitegemea hakuji kwa kukurupuka,ni lazima mtu ujipange.
Tusiwe kama viongozi wetu kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu,vijana wanapolilia ajira,hujibiwa kirahisi tu,nendeni vijijini mkalime...majibu ya kipuuzi kabisa