Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 12,959
- 26,020
Wakuu naomba tujadili hili, maana kama indicator tumeshawashiwa...
Je ni athari gani tutapata kama nchi na kwa mtu mmoja mmoja!
Kutokana na hali tete ya uchumi tuliyonayo je tukianguka kabisa itakuwa rahisi kuinuka??
NB: Mods msiunganishe huu uzi, pengine tutapata hapa namna ya kujiandaa na yajayo na kufunga mkanda!!
Je ni athari gani tutapata kama nchi na kwa mtu mmoja mmoja!
Kutokana na hali tete ya uchumi tuliyonayo je tukianguka kabisa itakuwa rahisi kuinuka??
NB: Mods msiunganishe huu uzi, pengine tutapata hapa namna ya kujiandaa na yajayo na kufunga mkanda!!