Hummer the IdiotsWewe unao ushahidi???? Je ni mwanasiasa gani kashitakiwa bila kufuata sheria? Je ni nani yupo kizuizini bila sheria? Unajua nyie wapinzani ni wajinga na wapumbavu sana. Mnavunja sheria halafu mnataka msamehewe kisa nyie wanasiasa wakati huo huo mgekuwa ninyi ndiyo wenye serikali mgehakikisha mnajidai kutumia hizo sheria kulinda amani. Kwa ufupi wapinzani mmeishiwa nguvu mmeanza kutafuta ufadhili
Hata mwanao huwezi mwambia ajitemee ghafla tena bila kujua anaanzaje hilo zoezi. Kujitegemea si kukurupuka tu panata kujipanga kisawasawa. Acheni masikhara tumshauri mkuu arekebishe misimamo yasitufike mabayaBaadhi ya huduma za kijamii na miradi mbalimbali itasuasua
Mzunguko wa fedha utapungua na baadhi ya biashara zitadorora na pengine kufa kabisa
Nadhani ifike pahala TUJITEGEMEE WENYEWE NCHI KAMA NCHI NA SIO KUTEGEMEA WAHISANI WENYE MASHARTI MAGUMU
mmh nini kifanyike?Sera mbovu sanaa...!!
Sasa hapo chadema anaingiaje? Haya ndiyo yatasababisha tuishi kama 1989,labda kama ulikuwa hujazaliwa. Tulopita miaka hiyo twajua machungu yake.Mashetani chadema mshindwe na kulegea
Hata mwanao huwezi mwambia ajitemee ghafla tena bila kujua anaanzaje hilo zoezi. Kujitegemea si kukurupuka tu panata kujipanga kisawasawa. Acheni masikhara tumshauri mkuu arekebishe misimamo yasitufike mabaya
Kumbe ni chadema? Nilijua unasema CHADEMA.Mashetani chadema mshindwe na kulegea
Wakuu naomba tujadili hili, maana kama indicator tumeshawashiwa...
Je ni athari gani tutapata kama nchi na kwa mtu mmoja mmoja!
Kutokana na hali tete ya uchumi tuliyonayo je tukianguka kabisa itakuwa rahisi kuinuka??
NB: Mods msiunganishe huu uzi, pengine tutapata hapa namna ya kujiandaa na yajayo na kufunga mkanda!!
Mziki wa vikwazo vya uchumi kamuulize iran na russia. Inshort kwa akili fupi za viongozi wetu tukiwekewa ni ndani ya wiki nchi haipo...Wakuu naomba tujadili hili, maana kama indicator tumeshawashiwa...
Je ni athari gani tutapata kama nchi na kwa mtu mmoja mmoja!
Kutokana na hali tete ya uchumi tuliyonayo je tukianguka kabisa itakuwa rahisi kuinuka??
NB: Mods msiunganishe huu uzi, pengine tutapata hapa namna ya kujiandaa na yajayo na kufunga mkanda!!
Mbaya zaidi hizo nyingine hawataki kutajaLakini hiyo ni hoja moja kati ya 15...
Na kingine wakiweka vikwazo vya kuuza na kununua bado itakuwa vilevile
Sasa hivi hawawezi kuuza kwa sababu hamna cha kuuza...utaacha kuletewa KY tulia unyolewe bila ganzi,wewe ulitaka utawala huu tuendelee kuuza nchi yetu ,unafikiri tungebaki na nini?
Kwann mnataja sababu moja tu?Acha uwoga wewe bora tufe na njaa kuliko hao wazungu watuamlishe tufirane wenyewe kwa wenyewe
Na kosa la msingi yeye na wenzake walifyatua risasi iliyomuua Akwilina, kiukweli makosa yao yapo kisheriaPenye ukweli hapahitaji ma love. Mbow yupo ndani kwa sababu alikiuka sharti la dhamana, na kosa hilo lipo kisheria na sheria zetu ziko wazi na zinajulikana.
hatari sana mkuuWakituwekea vikwazo via kiuchumi maana yake itakuwa vigumu kwetu kuuza bidhaa zetu kama vile korosho nchi za nje na pia hata tukiwa na pes za kigeni itakuwa vigumu kununua kutoka nchi za nje!! Tutakuwa kama ROBINSON CRUSOE kisiwani peke yake!! Nadhani Jiwe hajui implications kwa nchi hawa jamaa wakitutenga!!!
wafadhili wa nje inawezekana
Ukiondoa ushoga mengine wapo sahihi, haya siyo maisha,kutishana kila kuitwapo Leo. AMANI ya nafsi ni bora kuliko fedha. 1978/79, kujifunza. Nyerere alitangaza vita na Idd Amin,nikuambie tulishikamana kwa kiwango cha hali ya juu sana, wote tuliimba wimbo mmoja aliotuanzishia Mpendwa Rais wetu. Watu walitoa mahindi,mchele,Kuku,mbuzi,kondoo,na ng'ombe.Wenye magari walisafirisha vyote hivyo kwa hiari ya moyo tena tulifurahia kutoa na kujitoa. Saa3 usiku kila mtanzania alikaa Katibu na radio 277 kusikiliza kipindi cha majira Rais wetu atatuambia nini! Wana muziki walitunga nyimbo cha kutiana moyo,nguvu na kuhamasishana bila kulazimishwa na kiongozi yeyote. Nyerere hakuwa na lugha za kukera wananchi wake,hakuwa na mabavu. Alitumia muda mwingi kuelimisha uma. Tulikuwa Masikini lakini tulibaki na umoja upendo na mshikamano wa ajabu sana. @ Pascal mayalla kama ulishazaliwa,haya ndiyo ya kuwaelimisha vijana ambao hawakuwepo wakati huo,waache kushabikia hali hii ya mgawanyiko. Viongozi wa sasa wakipita humu wawe na la kujifunza. Wajeshi,Polisi waliheshima kwa kazi zao,hawakutisha kama hivi leo.walifanyakazi kwa weledi lakini walitanguliza upendo. Tuna mengi ya kusema muda hatoshi. Wale wahenga waliomo humu watakubaliana nami. TULIPO SIPO NA TUNAKOENDA SIKOSasa mkuu huoni kwamba kukubali sera za LGBT ni kuiharibia sifa nchi yetu?
Umeiona hoja hii tu!!!! watz bhana!!!! Hawa walikuwepo toka enzi za sodoma. Angali hoja zingine muhimuAcha uwoga wewe bora tufe na njaa kuliko hao wazungu watuamlishe tufirane wenyewe kwa wenyewe